Tatizo mhusika anataka kuendelea kuitumia taaluma yake ambayo serikali bado ndio humpa leseni annually sasa akijifanya mjanja wanaweza kumfungia pia na leseni yako akabaki na vyeti tu.
Hela yenyewe ndogo inalipika 35M
Mkopo hua una bima hivyo bima hulipa ila katka situation za kufukuzwa kazi au kifo.
Cha kufanya tengeneza mazingira ya kufukuzwa kazi tu hapo japo kwa hiyo hela 35M ni ndogo sana kukufanya ufukuzwe kazi atleast ingekua double ya hiyo.
Nakushauri vumilia tu mkopo wako uishe kisha uje uvute...
Kwa uzoefu wangu tu chukua LG ya Korea.
Mwaka 2014 nilichukua LG bila kujua brand ya South Africa aisee mwaka mmoja baadae iliungua kadi ikabidi nibadili miaka miwili mbele ikaungua zile LED strips nazo ikabidi nibadili. Matengenezo yako pia ni expensive kidogo.
Mwaka 2019 niliamua kununua LG...
Sasa yeye Majani hiyo beat alimpa Prof Jay au alimuazima? Msanii anaponunua/chukua beats na kuifanyia wimbo kwa kuingiza vocals na mambo mengine automatically inakua Mali yake Sasa iweje Majani the same beat akamuuzie mwingine? ??
Hivi mwanaume unakuaje na mwanamke mmoja???
Huu ni uzembe wa hali ya juu sana. Pole sana kamanda ila ndio ujifunze hawa viumbe usipokua na hela watapigwa na wenye nazo lakini pia ukiwa na hela watapigwa na wasio na hela.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.