King shark
Member
- Aug 4, 2019
- 31
- 17
Mi. Naona magar ya kutumia hizi rav 4 za wabunge na labda hya mafortuner new model
Ila haya magari yalikuwa yanakunywa mafuta aisee.
Unapandaje gari bila hata kulijua mkuu?ahaaa thank you brother nilichanganya mafaili mkuu ila all in all hakuna gari nnayo ipenda dunian kama Hii.
Kwa maendeleo na utunzaji mazingira endelevu, dogodogo ndio mpango mzima. Magari madogo, nyumba ndogo, office ndogo, kula kidogo, mwili mdogo etc.
Haya magari yanatumia mafuta mengi na ni gharama kuyahudumia (service? na matengenezo.
Aliyetoa wazo na kuingiza magari haya serikalini hakuwa na mawazo endelevu.
Umekosea halafu unakuwa mjuaji sijui umekula maharage ya wapi weye!!Huo ugolo ulokula ndo umekufanya ukimbilie kwenye mashikolo nmeandika post juu hapo nikasema nimechanganya mafile au hujaona mzee baba
Mwambie awaze makubwa ndo atakuwa na maendeleoUkiwa na mawazo madogo unakuwa mdogo kimaisha
Hizo zote ni marketing strategies , baada ya hapo utasikia wamekuja ni kitu mbadala wa land cruiser...
Kama vile Maserati walivyofanya...
Cc: mahondaw
SawaUmekosea halafu unakuwa mjuaji sijui umekula maharage ya wapi weye!!
Kwani post inatanguliwa kuonwa ya mwisho kabla ya ya mwanzo?
Ungeedit pale pale kuepusha kutoa harufu ya hizo kunde zako!!!
Otherwise umeeleweka kuwa ulikosea
Uzuri wa Toyota hasa hizi Land Cruiser ni reliability. Ndio maana zina wateja wengi sio Tz tu hata huko kwa wazungu wanahusudu sana, Nenda Australia utakuta wanatumia Toyota na hata Wamarekani ukiwauliza ni gari gani unaweza kununua used na bado ukaendesha vizuri tu watakwambia go for ToyotaKuna magari mengi tu mazuri ambayo ni mbadala
Shida yetu si unajua watanzania tumeathiriwa na Utoyotalism...
Kwasababu huku tunapokea za kuanzia 1980 hukooAmesahau kumaliza kwa kusema hiyo yote ni kwenye soko la marekani.....Africa tutaendelea kuletewa kama kawaida
Hiyo ni error imetokea tu ndugu naijua defender kuliko gari yoyoteUnapandaje gari bila hata kulijua mkuu?
Hiyo ni error imetokea tu ndugu naijua defender kuliko gari yoyote
Ila huko kwa wenzetu inarudi mkuuKwasababu huku tunapokea za kuanzia 1980 hukoo
Nimeandika Toyota badala ya Land Roverulitaka kumaanisha nini ?
Used kila mtu atashauri uchague Toyota...the reason behind is availability of counterpart spares....nothing more...Uzuri wa Toyota hasa hizi Land Cruiser ni reliability. Ndio maana zina wateja wengi sio Tz tu hata huko kwa wazungu wanahusudu sana, Nenda Australia utakuta wanatumia Toyota na hata Wamarekani ukiwauliza ni gari gani unaweza kununua used na bado ukaendesha vizuri tu watakwambia go for Toyota
Sawa Kiazi ulayaAngalia post hapo juu nlosema nimekosea so unakimbilia tu ku comment kama unawahi chooni na furushi la uharo
Sawa Kiazi ulaya
Hakuna gari ninayo ipenda kama series 70.Hata wakiua 200 series, watuachie 70 series zile ndio ultimate 4×4's