Filamu za uchochezi za kidini ZBC2

Filamu za uchochezi za kidini ZBC2

ZBC Channels ni ujinga tupuuuu. Kutwa kucha ni vipindi vya Dini tu. Kweli Huko Zbar hawana haja ya mafundisho mengine zaidi ya Kulishwa Kuran 24/7.
Anyway kama Channel inakukera unaipiga block kwenye King'amuz chako isionekane baaasi maisha yanaenda.
yani binadamu sisi TBC wanamwonyesha mtukufu jiwe 24/7 haruoni ni shida ila vipindi vya dini ndo vinavyotukera
 
Tokea ianzishwe Azamtv basi imekuwa kuna mfululizo wa malalamiko ya udini tu mara utasikia wafanyazi wa Azam wote waislamu mara vipindi vyao vina maudhui ya kiislamu tu,miaka yote nchi hii waislamu ndio walikuwa wakilalamikia kuwepo udini na kuonekana watu wenye kupenda kulalamika tu. Sasa sijaelewa kwamba hii tabia ya kulalamika lalamika siku hizi imehamia kwa wasiokuwa waislamu?
 
ZBC Channels ni ujinga tupuuuu. Kutwa kucha ni vipindi vya Dini tu. Kweli Huko Zbar hawana haja ya mafundisho mengine zaidi ya Kulishwa Kuran 24/7.
Anyway kama Channel inakukera unaipiga block kwenye King'amuz chako isionekane baaasi maisha yanaenda.
Qur'an ina ubaya gani kuisikiliza 24/7 kama kweli u msikilizaji.

Unaonesha u hodari wa kukaa kuisikiliza 24/7.
 
Hivi wazanzibar sjui wakoje ..Kuna Uzi nlisoma eti mtu afariki kwa kuzama kwenye kisima, nliposoma nikajua ni Zanzibar wala sikuendelea...wamekaa kirojorojo
Du mkuu swala la kufa unasema wamekaa kirojorojo. Mtu anaweza kufa hata kwa kukaa tu
 
ZBC Channels ni ujinga tupuuuu. Kutwa kucha ni vipindi vya Dini tu. Kweli Huko Zbar hawana haja ya mafundisho mengine zaidi ya Kulishwa Kuran 24/7.
Anyway kama Channel inakukera unaipiga block kwenye King'amuz chako isionekane baaasi maisha yanaenda.
Makafiri bana
 
Hivi hizi nyuzi za kuchochea chuki dhidi waisilam mbona zina zidi kushika kasi? Amini usiamini kuna baadhi ya watu wana tamani kuufuta uislam tz hii Ila hawana uwezo tu.
Na kinyume chake ni kweli,
 
Neno,mkuu japo sijaangalia hy tv,baadhi ya mitaa pia mabanda video wanarusha baadhi ya mihadhara yenye maudhui ya kibaguzi na kujenga chuki.Tahadhari ni bora.Wahanga ni wazee vijana na wamama wasio na ajira rasmi.
Kama mitaa gani mzee
 
Unamuamini Mungu au dini? Maana hata dini ikifutwa Mungu hawezi futwa
Mungu hatofutwa ila habari zake nae zitakuwa zimefutwa,kwa sababu watu wengi unaoona wanamzungumzia Mungu basi wamekulia kwenye dini na ndiko walipomjulia Mungu huko kwa maana hiyo kama zikifutwa dini pia hizi habari za Mungu hazitosikika tena.
 
Zbc2 ni ya zanzibar ambayo 99.9 ni waislam kwani tatizo liko wapi?????
Nani kakudanganya!? ZBC2 ni kivuli tu lakini ni TV ya Azam media kwa ushirikiano na shirika la utangazaji Zanzibar japo vipindi na kilakitu vinakuwa programed pale Uhai studio (Azam tv) kwahiyo kila kinachoendelea kinatoka Azam tv.
 
Mleta mada ni bonge moja la mpumbav.u. chuki zake dhidi ya uislam ndio zimepelekea kuandika upupu.

Mbona huzungumzi movie za mabwana zenu holywood ambazo zinafundisha mauaji, wizi na umalaya?
 
Inatosha au niongeze
IMG_20190729_050232.jpeg
 
we are raised to believe that, Paradise invites only those who are ready to die for their religion and die for their god. Have yu ever wondered, what type of god who can not fight for himself but sit and wait for his believers to fight for him??
In islam, fighting and even killing for the sake of Allah is the highest privilege given to man.
Huyu Mungu ambae hawezi kujipigania aliehalalisha mapigano na kuuwa ndio anaitwa Allah?
 
Kafiri #1 ni lile babu lililobaka kibinti cha miaka 6, nasikia mnaliita Mudy.
Unakataa jina la Kaafiri wakati Aliyekuumba ndio anakuita hivyo.
Na hutoona Ubaya wa Matusi yako ila hivi Punde.
Endelea na dhihaka zako nawe sio wa kwanza ipo siku utaishia na Lau Lau ambayo itakuwa lau unge.
 
Hivi hizi nyuzi za kuchochea chuki dhidi waisilam mbona zina zidi kushika kasi? Amini usiamini kuna baadhi ya watu wana tamani kuufuta uislam tz hii Ila hawana uwezo tu.
Mkuu uchaguzi unakaribia,
Mada kama hizi pamoja na zile za ukabila ni lazima ziibuke kipindi hiki, maana hiyo ndio silaha kuu anayoitumia mkoloni mweusi ili awagawe na kuendelea kuwatawala.
 
  • Thanks
Reactions: RTI
yani binadamu sisi TBC wanamwonyesha mtukufu jiwe 24/7 haruoni ni shida ila vipindi vya dini ndo vinavyotukera
Mkuu vijana wa buku 7 wapo kazini, hiki kipindi cha kuelekea uchaguzi ndio wakati wao wa kuanzisha kampeni za udini na ukabili ili waendelee kuwatawala vizuri.
 
Back
Top Bottom