Na Lushoto now days watu wako fresh kiuchumi ni jana tu nimetoka huko nikakuta watu wanatembelea Alteza, Mark X, Brevis etc nikashangaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]
##Electrical,Electronic and Telecom Engineering, ##Mechanical Engineering ,.....Computer Engineering zote hizo ni hot cake kwa sasa hapa TZ hasa Telecom inalipa na akipata kazi mbona atasahau shida maana zina mishahara minono
Aachane na habari ya advance
"kutoka Moshi kwenda Dar utapitia ya Segera Chalinze sio Arusha Babati Singida Dodoma then Chalinze ni ya mbali......mpeleke pale DIT akapige Diploma ya Mechanical,Electrical Engineering bàada ya miaka 3 ameshakuwa engineer
Ufeki wa laptop\Computer utautambua sehemu Tatu
CPU,HDD na RAM hivyo ndo vya kuangalia wakati unanunua computer
Kama ina window tayari yaani OS nasi click start kisha nenda run kisha andika "dxdiag" ita display features kuazia BIOS mpaka memory yaani RAM
Hii inahitaji uwe na uwelewa kodogo...
Kidia
Happy Nation
Dar express
Kakore
Tahmeed,
Kilimanjaro Express
Chukua Tahmeed au ukichelewa chukua Kilimanjaro ila Tahmeed mimi nimesafiri nao kutoka Arusha to Dar wako vizuri ndani kuna mpaka choo cha dharura.
Mungu kaskia kilio chetu wana-Bumbuli
Kaja jimboni Bumbuli akaona asikanyage tope aruke hewani chopa na ushindi asilimia 80! na alipita!!!!! ama kweli sisi tulimpenda sana Chanyeghea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.