WanaJF ingilieni kati huu msala

WanaJF ingilieni kati huu msala

Huja sign mkataba maana yake huna ajira, kwa hiyo ni juu yako kuamua kurudisha pesa uliyokopeshwa na kujiunga na kampuni B kama kama kipaumbele chako ni Masilahi (Mshahara mnono) lkn kama interest yako ni kufanya kazi na kampuni A bila kujali tofauti ya mshahara unaopata basi waweza kuamua kuendelea na kampuni A sbb ulisha ridhika na kiwango walichokutajia mambo mengine yatajulikana mbele ya safari hasa uchapakazi na weledi wako utakuongezea kipato
umemshauri kiutu uzima sana na kwa lugha maridhawa yenye kueleweka...sasa ni juu yake tu kufanya uamuzi ulio bora kwake.
 
we umeuliza mtu anajaribu kukujibu af unamjibu hivo...basi usingeuliza
Mimi mwenyewe nimemshangaa huyu mleta uzi,alafu jamaa kajaribu kuelezea vizuri kabisa yeye anakuja kumsemea maneno ya kuudhi.Kwanza kazini wiki moja alafu una mkopo tayari,Upo kazini lakini hujasaini mkataba na mwajiri wako lakini anakupa mkopo.Ptuuuuuuuuu!!
 
Nimepata kazi sehemu 2:

- Zote ni kampuni changa
- Nina wiki 1 kwenye kampuni A na tayari nina mkopo wa nusu mshahara
- Kampuni B imetoa ofa ya mshahara mara 2 ya kampuni A
- Sina hela za kulipa mkopo wa kampuni A
- Kampuni B nimewaambia kuwa nilikuwa sijaajiriwa
- Bado sijajaza mkataba na kampuni A, na atakuwa adui kama akijua ninaondoka

NIFANYEJE?
mi unisamehe tu kuwa sitahangia hija yako iila kuhusu Muha mmoja anaweza kubishana na abiria wote wa 3rd class kwenye behewa moja Tbr mpk Kgm. Ni kweli?

Ila ubishi wao hua una mantiki sana Mf; nauli ya Kigoma mwanza ni 35,000 unasafiri 10hrs lakini kutoka stand Nyegezi mpaka mjini ni 30,000 sasa muha anabishana mpk jua linazama kwa nini alipe 35,000 toka kdg na ni mbali masaa mengi njiani alafu aje alipe tena 30,000 kwa dakika kumi kwenye tax.
 
Hivi mshahara peingira ya kazi yasiwe mazuri je umeangalia hilo?kee ndio unaoamua ufanye kazi A au B? Hao A wilikuwa waungwana wakakukopesha bila mkataba sasa leo tu huyo unasepa,unadhani hapo ni sawa? Pili unaweza kwenda B na maslahiyakawa bora lakini mazingira ya kazi yasiwe mazuri,je umeangalia hilo? Vp inawezekana A kuna mshahara mdogo ila kuna mikopo kwa wafanyakazi( kama ulivokopeshwa) ambayo iaweza kukusaidia kupiga hatua kimaisha? Vp kuhusu security ya kazi,wapi ni bora kuliko wapi?

Sasa hayo majibu unayo mwenyewe. Ila tukiashumu kuwa kote kunalingana kwenye vitu vyote kasoro mshahara then tafuta mkopo kupitia ndugu na marafiki kasha kalipe deni kabla ya kuondoka. Ukisepa na deni uwezekano wa kukosa kote ni mkubwa sana maana A anaweza kukuharibia ukaonekana wewe ni mtu wa tamaaa na huna lengo la kusaidia kampuni.
 
Kwa vyovyote vile kuwalipa haiwezi kukosekana kwenye terms of contract....
Hata kama haipo kwenye terms, kisheria, inajulikana kua mkopp una implied implication ya kulipwa. Sio lazima utamkiwe au iwepo kwenye mkataba.
 
Du. Hujajaza mkataba lakini tayari wamekupa nusu mshahara? Amazing...
 
Hivi umesoma content? kuna mahali nimesema nina mkataba na mwajiri? naomba wajibu walionielewa. usi mislead
Mbona hujielewi,sasa kama hauna mkataba na hiyo kampuni A maana yake wewe ni kibarua,sasa ushauri gani unataka hapa?
 
Huyu ndo kijana halisi wa kitanzania. Uaminifu zero. Wewe mtoa thread punguza tamaa angalia kwanza hicho unachotaka kitakuwa na madhara gani kwa future yako. Weka utu mbele sio tamaa.
 
Acha Uoga fanya maamuzi!, kampuni nyingi za hapa nchini zinanyonya watanzania kwa kuwalipa mishara midogo wala hazijali/kuogopa. Nami nakushauri kiroho safi Vunjwa ukimya kwa kuhamia kwa jirani. Hiyo ndiyo "career development yako". We sepa usije ukazeeka huku unanung'unika, kumbuka umri unaenda hivyo! usiogope ndg yangu
 
Nenda kampuni B,hamishia mkopo uliza benki wanafanyaje
 
Nimepata kazi sehemu 2:

- Zote ni kampuni changa
- Nina wiki 1 kwenye kampuni A na tayari nina mkopo wa nusu mshahara
- Kampuni B imetoa ofa ya mshahara mara 2 ya kampuni A
- Sina hela za kulipa mkopo wa kampuni A
- Kampuni B nimewaambia kuwa nilikuwa sijaajiriwa
- Bado sijajaza mkataba na kampuni A, na atakuwa adui kama akijua ninaondoka

NIFANYEJE?
Tamaa lazima zikuingie wiki moja ushakopa ushaanza kulamba nusu mshahara kuna nn hapo kama sio kutafuta maslahi kinguvu
 
Nimepata kazi sehemu 2:

- Zote ni kampuni changa
- Nina wiki 1 kwenye kampuni A na tayari nina mkopo wa nusu mshahara
- Kampuni B imetoa ofa ya mshahara mara 2 ya kampuni A
- Sina hela za kulipa mkopo wa kampuni A
- Kampuni B nimewaambia kuwa nilikuwa sijaajiriwa
- Bado sijajaza mkataba na kampuni A, na atakuwa adui kama akijua ninaondoka

NIFANYEJE?
Nenda kampuni inayolipa marambili waelekeze wanachofanya wananunua denilako mnakatana mshahara huko hukimbiimaana mkatabawake watakufinya vilivyo waombe kama wanathamini posn yako wananunua deni lililobakia wanalipa kazi ikokwako
 
Aga kama umepata matatizo ya kifamilia na nenda Company B sign contract haraka kisha Fanya kulipa ile hela
 
Back
Top Bottom