Philippine President-elect Rodrigo Duterte [emoji767] Lean Daval Jr / Reuters
Philippine President Rodrigo Duterte has accused the US of importing terror to the Middle East through its interventions, pointing to Iraq, Libya and Syria as examples.Speaking at an event being held in honor of the...
Lugha yoyote ya Muafrica ni inferior tutaijua wenyewe tu. Lakini kiukweli Magu anachemsha akizungumza kiswahili Hiyo PhD yake aliipatia kwa kusomea kwa kiswahili
Wacheni kutoka povu kwenye ukweli kama hajui lugha ya kimataifa umkubali hajui. Nchi ina lugha ni mbili kiswahili na kiingereza. Kiswahili kwetu na hiyo ya pili kiingereza. Eti PhD ameipata kwa kiswahili? Na hiyo PhD ni neno la kiingereza
Vazi la Niqab sio Vazi rasmi la Uislam asili ya Vazi hili ni Itikadi za kiarabu na ilianza hata kabla ya Mtume Mohammad S.A.W
Na kutokana na hali ya sasa kiusalama ni bora na sawa kulizuia wengine wanalitumia vibaya.Tukumbuke hili Vazi limeanza kuwa maarufu hapa Afrika Mashariki mwishoni mwa 1980.
Dini zote zinamtafuta Mungu na dini zite makatazo yamefanana. Na kila dini ina njia zake za kumtafuta huyo Mungu. Kwa hiyo kila mmoja aheshimu imani ya mwenzake
Nilipojiunga JF nilitegemea kusoma posts zenye mafundisho na mahajiano ya maana. Lakini nimeshuhudia kuna udini wa kupindukia na wanao nyanyaswa zaidi kwa imani yao ni Waislamu. Maneno ya kejeli na manyanyaso ya kijinga kabisa. Mara waitwe magaidi, wajilipuaji,wa pendant pilau na ujinga ni...
Upendo upo ndani ya Uislam lakini sio Upendo mnaoutaka nyinyi. Upendo wenu ndio huo unaotupelekea kwenye Upendo wa jinsia moja. Wanadai "mungu" amefundisha. Ndio mnaozungumzia
Hakuna kitu kama hicho katika Uislam hivyo ni vitisho vya mashekhe uchwara. Wala hakuna eti dua ya kumuombea aliekuibia Mwenye kuhukumu ni Mwenyezi Mungu peke yake. Mwenyezi Mungu hamhukumu kwa dua anayosoma binadamu hapa duniani. Wanaotangaza mambo ya kusoma dua au albadiri ni vitisho vya...
Bibi anadai anapigana na ugaidi lakini ukweli ni kuwa anapigana na wapigania uhuru wa ki Palestine. Uchukue ardhi za kwa kutumia mtutu kuharibu mashamba yao kuvunja nyumba zao kuharibu mashule na hospital. UN inasema anaekaliwa kwa mabavu katika ardhi ana haki ya kupigania kama Israel ilivyo...
Magaidi wanaua bila kutizama wewe ni dini gani. Kwa hali hii inaonekana wanaua zaidi Iraq Somalia Yemen Syria na Afghanistan ambapo kuna asilimia kubwa ya Waislamu
Mijitu blacks kweli ni kama nyumba chakula ya simba. Wanakufa na ufukara na njaa eti leo hii wanashabikia na luwalaani wengine. Maskini hawajijui hawajitambui Mijitu ipo ipo tu duniani. Wenzetu wanaishi maisha ya kiubinadamu sie tumebaki keleleeee tuuu. Asili yetu.
Wewe ni mpumbavu usie kuwa na akili hakuna Muislamu anaeshabikia kuuwauwa wakristo na pia katika quraan tukufu wakristo wanaitwa wakristo. Wale walioitwa makafir ni waarabu waliokuwa wanampinga Mtume kwa kuwaletea maneno ya Mwenyezi Mungu wa haki wakati wao wanataka miungu yao.Hao wanaojilipua...
Waliokataliwa ni wale ambao wanadai wanafuata taratibu za mwezi wa Saudi Arabia kwa hiyo serikali imeona itatokea mtafaruku kwa sababu Mufti Mkuu wa Tanzania atakuwa bado hajatangaza Idd na Waislamu wengine bado watakuwa kwenye mfungo kwa mantiki hiyo ni bora wasipewe kuzuia huo mtafaruku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.