Recent content by ABLE04

  1. ABLE04

    Tulia Ackson acha Kututafuta tunayemjua vyema Marehemu Lukuvi na Dhambi zake kisha tufunguke na mtuone Wabaya sawa?

    Au sio, tunaishia kuwaona kwny vioo! Unazani wote mabwiga humu.?
  2. ABLE04

    Tulia Ackson acha Kututafuta tunayemjua vyema Marehemu Lukuvi na Dhambi zake kisha tufunguke na mtuone Wabaya sawa?

    Inashangaza kidogo,! huyu jamaa kila mtu maarufu anamjua na nijirani yake!
  3. ABLE04

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Ukiachana na mada, hivi kuwa hivi kama huyu dada ndio kuwa MZURI,? Maana kiukweli Huwa sielewi, wengi wanamsifia achana na uchakarikaji wake.
  4. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Umeshapata kazi kwanza?
  5. ABLE04

    Mke wangu hana bajeti na hajali, anataka tukipata pesa tutumie hadi ziishe

    Hawa waliopo kwenye dini na jamii yote kwa ujumla ndio wapo humu.
  6. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Basi sawa mwambie apambane,!
  7. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakuwahi kuripoti kabla maana hakujua kama utumishi walishampangia, alivyoambiwa hivyo ikabidi akapambane na LGA tu maana hamna namna😭
  8. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna mtu alikataliwa na taasisi ya elimu ya juu, alipata kazi ya kufundisha hapo walipoingiza taarifa zake aliambiwa ameshapangiwa tayari kazi na utumishi na Wala hakuwahi kuripoti huko🤣
  9. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama hiyo taasisi ni ya serikali itakuwa ngumu maana wakiingiza taarifa zako zitasoma ulipopangiwa kazi na utumishi.
  10. ABLE04

    Ulegevu wa via vya uzazi husababaishwa na nini kingine zaidi ya umri wa muhusika?

    Sasa mtu unashindia chipsi na mikuku ya kizungu plus madawa wanayoweka kwny kila chakula kuanzia mboga za majani, matunda n.k kwann sehemu za Siri zisilegee,!??
  11. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    WAPO JUU HAPO WANAPONGEZANA KWA KUMALIZA MWAKA VIZURI, WANAZANI HATUWAJUI.
  12. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    HUMU NAONA KUNA WATU WANAKAZI MAALUM YA KUSIFIA NA MUDA MWNGINE KUPONDA PSRS ILIWAONEKANA NA WAO NI JOBLESS. AU WAMEPATA PLACEMENT KIHALALI BILA CONNECTION.
  13. ABLE04

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Humu kuna mamluki wengi sana, wanahamisha mada, wanatoa hopes zisizo na maana na kuitetea Psrs.
  14. ABLE04

    Lady Jaydee amemuimba X wake baada ya kufulia na kuwa chapombe wa taifa?

    Nyimbo nzuri,...sema ukisikiliza vizuri anavyoimba na mdundo ni kama kuna ngoma nadhani ishawahi kuimbwa kama hiyo japo mashairi tofauti!!
Back
Top Bottom