Ok but my question is, Nowton anaamini ya kuwa MUNGU yupo?na kila nguvu kupitia kinywa chake binadam ni nguvu ya kimungu?kwakuwa pumzi anayopumua binadam na wanyama wengine ni kutoka kwa MUNGU na pumzi yenye nguvu sana ni ya binadam kwakuwa binadam ni mtawala wa viumbe wote?
Rudia tena mkuu kutazama labda kunasehem umekosea au kusahau lkn pia mm nipo wazi kwa kusema na kwakuwa nipo hivyo siwezi ficha jina kama ufanyavyo ww.
Wala haikusaidii na kingereza chako cha kipumbavu njoo na lugha iliyo na mawaaa lugha ya kiswahili, tunaambiwa tusibishane na mpumbavu tukaja kuwa wapumbavu
Ww elim yako ina mapana gani bro ungekuwa na elim iliyobora ungekuwa mstarabu kwakuwa elimu zao lake pia ni ustaarabu na hekma kama huna hivyo vitu basi ww ni mpumbavu kama unavyoonekana ww
Uharibifu upi panga utaratibu kwamba wawe pale hakuna watu waoga kama wasukuma hilo nina uhakika nalo lkn pia unazani ni vyema kusema kama ulivyosema eti operation inayofanywa inawafaa wasukuma kufanyiwa ni ubaguzi mmbaya sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.