DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,088
Hahahaha, wakija nawaimbia wimbo wasioupenda.Unaleta uchochez mkuu, tarajia kupimwa mkojo.
Wasivyopenda matusi watatoka nduki
Hahahaha, wakija nawaimbia wimbo wasioupenda.Unaleta uchochez mkuu, tarajia kupimwa mkojo.
Mmmh, mapema mwezi huu sijui mwisho wake lini hasa ukizingatia bado siku 10 mwezi huu uisheDude linakuja mkuu, kwa mujibu wa mamlaka ni mapema mwezi huu, mimi so shabiki wa haya madude ila ndo hivyo
Hapo ndipo upeo wako ulipoishia, d*ckhead!
Asante mkuu, imenilazimu kutazama profile yako sioni haja ya kubishana nawe.Vyovyote vile lkn ww ni mpuuzi umetumwa kulisemea shirika au ww ni msemaji kichwa maji wewa
Asante mkuu, imenilazimu kutazama profile yako sioni haja ya kubishana nawe.
Dunia ita mfunza yaani kile kipande ana mjibu mbovu yule baba nimesikitika sanaIla mondi ana kiburi na dharau ya pesa, angalikuwa baba yangu yule mzee aliyetukanwa ningemsaka mond kila kona nimtie vitasa
Utajiri usitufanye tudharau wazee na pia tujifunze kuheshimu kazi za watuDunia ita mfunza yaani kile kipande ana mjibu mbovu yule baba nimesikitika sana
Siku nyingi najua jamaa hana adabu ila kwa ile video Nimegundua pia hawezi kuzuia hasira zake na akiwa na hasira hatumii hekima, pia ni jeuri mno.Utajiri usitufanye tudharau wazee na pia tujifunze kuheshimu kazi za watu
Posts zake nyingi huko insta zinaonesha jamaa anatumia sana hisia kuliko akiliSiku nyingi najua jamaa hana adabu ila kwa ile video Nimegundua pia hawezi kuzuia hasira zake na akiwa na hasira hatumii hekima, pia ni jeuri mno.
Yeye kwa akili yake alijua anavyo tema mbovu ana bishana na Hamisa, Zari au Wema. Hii adhabu walio mpa hajaonewa bali ameitaka mwenyewe.Posts zake nyingi huko insta zinaonesha jamaa anatumia sana hisia kuliko akili
Nimekuelewa ndio maana nimekuunga mkono kwa kuongezea point.Pia mwishoni nikasema@Abunwasi your right!!Au hujaelewa nawe?Sijakuelewa
Umesoma uzi wangu vizuri? au ndiyo upotoshaji?
Nimeunga mkono mawazo yako!!Hebu tulia usome tena nilichoandika.Nimeunga mkono mawazo yako kwa lugha ya kiutu uzima .Kama hujakaa chini kusoma kwa kutuliza mawazo unaweza kudhani hatupo pamoja.Hahahahahaaa!!Sijakuelewa
Umesoma uzi wangu vizuri? au ndiyo upotoshaji?
Nimeusoma na nimekuunga mkono kwa uliyoyasema ila Mimi nasisitiza Diamond kufungiwa sio kwa sababu ya clip ya kuhusu ATCL,bali ni kwa sababu hakutii masharti/katazo alilopewa na BASATA kuhusu muziki wake wa Nyegezi usiokuwa na maadili.Tuache visingizio kuwa kuliwa na shinikizo toka kokote.!!Hebu acha haraka ya kusoma umesimama,kaa chini na utulie usome nilichoandika,sio upotoshaji Mkuu@Abunwasi?Sijakuelewa
Umesoma uzi wangu vizuri? au ndiyo upotoshaji?
Na ww mbona umeongea kama wapanda mabasi tuu .... !! Kujua sheria ya aviation inahitaji elimu ya ziada ...kufika haijalishi ila inatakiwa kufika 40 min before departure kwa ndege za ndani ya nchi na counter inafunguliwa masaa mawili kabla ya departure so ndani ya masaa mawili hayo usije zigusa dk 40 zao za mwisho ukizigusa ndipo utaesabiwa umechelewa .....alafu balance ya wait na vitu vingine vinafanywa kwenye muda wa dk 40 ambazo huruhusiwi kuingia wala wao hawaruhusiwi kuuza nafasi ya MTU ata kama amechelewa ......Atcl walifanya makosa na huwa wanafanya Mara nyingi ila watu hawajui pakusemeaTatizo kubwa ni kwamba wengi mnaochangia hapa kama wewe mnachangia kama wasafiri wa labda mabasi au wasafiri wa humu humu nchini.
Jiulize; Hivi wajua kuwa safari za ndege huhusiana kote ulimwenguni?? Kwa vipi? Kama nina safari kutoka Mza kwenda Jberg, naweza fanya booking yangu nikasafiri bila kulala Dar na nikaenda kulala home Jberg siku hiyo hiyo??
Sasa ndio maana unaambiwa, Fika even 2 hrs before departure time. Hii inakusaidia na pia inawasaidia wasafirishaji wanaokusafirisha kurekebisha mambo kama kweli walizidiwa na abiria.
Kivipi; Wakiona kuna msongamano au wamezidiwa wanafanya mpango kukodi ndege nyingine iliyopo jirani ili kukuwahisha dar chini ya nusu saa 7a muda uliokuwa umepangiwa kuingia. Unafika unaendelea na safari yako in time.
Mnaposema Mondi kaonewa, hakufanyiwa haki, Je, kuchelewa kwake ati nusu saa kabla ya departure time ndio kuiharibie sifa ATCL kwa sababu ya "Ujuha wake?"
Next time, akodi bus au ndege yake binafsi