"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Mkuu Mayala!
Nakutakia Heri ya Mwaka Mpya!

Umeandika insha ndefu mno na yenye subjects nyingi tofauti: Physics, politics, philosophy, religion, hypnotism, divine creation, Darwinism, cosmology, logic, mathematics nk.!!! Matokeo yake, binafsi umenichanganya! Nabaki najiuliza fundisho au lengo la insha yako lilikuwa nini? (samahani kutumia maneno ya English hapa kwa wale wasiopenda lugha za kigeni).
Huwezi amini leo ndio nasoma comment hii.
Kitendo cha kusoma na kujiuliza fundisho ni dalili ya kutoelewa soma, soma tena na tena, usipoelewa, njoo.
Merry Christmas
P
 
Nimesoma sana hivi vitabu na hizi imani za cause and effect , laws of attraction vitabu kama The man who sold his Ferrari . Nilichogundua , shetani yupo kazini na hiki ndicho kilinipelekea kuokoka , pata revelation ya maisha ya shetani kuzimu , utagundua shetani anacopy na kupaste mambo ya Mungu Target watu wasipate uzima wa milele ,.
Alichoandika mtoa thread kipo kwa Mungu au kwa Shetani?
 
Hakuna kitu naogopa hapa Duniani kama kumdhulumu mtu au kumshutumu Mtu yeyote yule,kutenda matendo ambayo ni kinyume na ubinadamu ikiwemo kujipatia fedha kinyume na taratibu ikiwemo rushwa au ujanja ujanja,malipo utalipa hapa hapa duniani,ni nani aliyewahi kujiuliza Polisi wa usalama barabarani mwisho wao unakuwaje?jiulize na badilika hapa duniani ukitaka kuwa na mwisho mwema kaa mbali na maisha ya ujanja ujanja
Ok but my question is, Nowton anaamini ya kuwa MUNGU yupo?na kila nguvu kupitia kinywa chake binadam ni nguvu ya kimungu?kwakuwa pumzi anayopumua binadam na wanyama wengine ni kutoka kwa MUNGU na pumzi yenye nguvu sana ni ya binadam kwakuwa binadam ni mtawala wa viumbe wote?
 
Huwezi amini leo ndio nasoma comment hii.
Kitendo cha kusoma na kujiuliza fundisho ni dalili ya kutoelewa soma, soma tena na tena, usipoelewa, njoo.
Merry Christmas
P
Mkuu pasco nimeuelewa uz wako vilivo mkuu ni moja kat ya makala zako zinazonikamata naomba unaposhusha nondo kama iz uwe una ni tag mkuu
 
Hivi hawa wazungu walivyofanya afrika watalipwa lini?????au haiwausu??
Nasbiri jibu pascal na hiyo karma yako wazungu watalipwa lini?na yule jambazi tajiri toka 70s wa hapa dar mbona yuko poa tu??
Karma ni mambo ya cause and effects, ukifanya mabaya baadae ukifanya wema mkubwa kuliko ule ubaya, ile bad karma inakuwa reversed na unabarikiwa. Hao wazungu tayari wameisha reverse bad karma yao Africa kwa msaada wanayotoa Africa. Soma ufafanuzi hapa chini

karma.jpg

Kama ilivyo kwa wema, na kwa ubaya ni vivyo hivyo!, ukitenda ubaya au uovu, halafu ukafa kabla ya kuchapwa bakora za karma kuulipia ubaya wako, kwa vile malipo ni hapa hapa duniani, then familia yako ndio inaendelea kuubeba ubaya huo, hivyo kuchwapwa hizi bakora za karma bila kosa lolote!, kitu ambacho kwa maoni yangu, this is not right na sio fair kabisa, it is very unfair!.

Mfano kwa mtoto mdogo malaika wa Mungu kuzaliwa bila dhambi yoyote kisha anakuja kujikuta kumbe mzazi wake alifanya ubaya fulani, hivyo mtoto huyo kujikuta anapaswa kubebeshwa mizigo ya dhambi za wazazi wake.
Natumaini nimeeleweka
P
 
Pascal unataka kusema nini hapa???

Acha hizo! Karma kwa ...zile?? Sio sawa hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu Said Ally,karibu hapa kwa darasa dogo la karma.
Ubaya wa pili wa karma ni kiwango cha adhabu kinakuwa determined na maumivu ya mtendewa na sio mtenda. Unaweza kutenda dhambi kubwa kama kumuua mtu adhabu yake inaapaswa kuwa kubwa lakini ukakuta mtu ni muuaji halafu anapeta tuu, kumbe yule uliyeuliwa alikuwa muovu sana, mchawi, mlozi, mwanga, mfitini, mchonganishi etc kiasi kwamba kifo chake ni blessing kwa wengi, muuaji anabarikiwa badala ya kuhukumiwa. Na ukakuta mtu umetenda ubaya mdogo tuu kama kumuahidi mtu kumuoa halafu humuoi, ikitokea huyo mtu hakuolewa tena, mapigo ya karma yatayokushukia ni usipime.
Yaani unaweza kupata mapigo makubwa kwa kosa ndogo na mapigo madogo kwa kosa kubwa. This is not fair.
Kwa ufahamu zaidi kuhusu haya mambo ya powers, tembelea nyuzi hizi,
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo Bila Kujitambua!,


"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa Imani!. Kila Mtu Anazo!.
Natumaini nimeelimisha japo kidogo
P
 
Asante Pascal.
Kweli karma sometimes is not fair!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Said Ally
Yes kwa macho ya kidunia ni kweli karma is not fair at all kwa sababu utekelezaji wa hukumu yake ni invisible, hauonekani, haiwezekani mtu aamrishe Lissu auawawe na mtu amedungwa risasi zote zile 38, halafu wadunguaji tuko nao mtaani wanapeta tuu, lakini karma ndio pekee hukumu ya haki hapa duniani, japo hatuwajui washambulizi wa Lissu, hivyo huwezi jua kama karma imeisha anza kuwashughulikia au la, usikute kwa kushindwa tuu kutimiza azma yao ya kuwashughulikia Lissu, nao wameishashughulikiwa, au kwa kumuona tuu Lissu yu hai, wao wanateseka mateso makubwa ya kisaikolojia na kulala sleepless nights kwa kuwa haunted uhai wa Lissu, you never know.

P.
 
Mkuu Said Ally
Yes kwa macho ya kidunia ni kweli karma is not fair at all kwa sababu utekelezaji wa hukumu yake ni invisible, hauonekani, haiwezekani mtu aamrishe Lissu auawawe na mtu amedungwa risasi zote zile 38, halafu wadunguaji tuko nao mtaani wanapeta tuu, lakini karma ndio pekee hukumu ya haki hapa duniani, japo hatuwajui washambulizi wa Lissu, hivyo huwezi jua kama karma imeisha anza kuwashughulikia au la, usikute kwa kushindwa tuu kutimiza azma yao ya kuwashughulikia Lissu, nao wameishashughulikiwa, au kwa kumuona tuu Lissu yu hai, wao wanateseka mateso makubwa ya kisaikolojia na kulala sleepless nights kwa kuwa haunted uhai wa Lissu, you never know.

P.
Sometimes natamani dunia isimame nishuke ila hapo kituoni nako balaa. Bora kubaki kwenye boti linalozama kama hujui kuogelea maana unaweza bahatika na uokozi kuliko kuamua kujitosa baharini.

I think, ignorance is the best for peaceful life. But you have to be blessed for it.

Ukijaribu kujifunza kuhusu mbinguni, utajiri, umasikini, afrika, ulaya, dini, ukristo, uislamu, uchawi, urais, ubunge, upinzani, uchaguzi, nchi na nchi, siasa, haki za binadamu, serikali, vyama, jeshi, kazi, maisha yetu duniani...

Nothing is real as we normally see, told and believe.

kuna mambo makubwa yenye giza nene sana nyuma yake kiasi kwamba unajuta kwanini umeyafahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good analysis Paschal.mkui uko vizuri.siku ulimiza Rais maswali magumu lakini akaanza kukwepa kutoa mjibu,eti wewe jina lako ni njaa,pole sana kwa msukosuko huo.ulisema kweli sana.
 
Umezidisha kuhusu karma sasa!!
The only exceptions za karma does not act on thoughts, what people's thinks, unaweza kuwaza aliyetuma Lissu auawawe ni fulani, just in your mind na ukabaki salama bila adhabu ya karma hata kama huyo uliyemuhisi siye, lakini karma acts on everything you say, write or do.

Hivyo hata hawa wazushi wa humu, wanaowazushia wenzao, karma itawahusu. Tena humu sio tuu tuna wazushi na wafitini, tuna mpaka manabii wa majanga, prophets of the doom, niliwahi kutoa ushauri humu kuhusu watu hawa.


P
 
NB. Kitu kizuri kuhusu hii karma, ukiisha adhibiwa, au kupata mapigo ya karma, deni likiisha, au kuisha fidiwa, adhabu inamalizika, ila pia kwa kujitambua, ukifanya jambo baya, ukaomba msamaha kabla karma haijaanza kukushughulikia, then una weza ku reverse bad karma isikutokee, au hata kuizuia kabisa kwa kufanya mema mengi zaidi kuliko uovu!. Hii inaitwa kuireversi karma
Hii ni specific kwa Tanzania ama hii ni theory mpya juu ya 'karma' inatumika ulimwenguni kote...!? Nasubiri majibu mkuu.
Rubbish! Je akina Ben, Mawazo, Azory and many many more wako wapi, ndio maana nasema wewe ni myopic in all aspects of intellect and reasoning!
Karma ya kumwaga damu ya mtu asiye na hatia unaweza kui reverse kwa wema gani
Wakuu Mambo ya karma ni magumu kueleweka kama ukisoma bila kutulia.

Kila mtu atalipwa kwa matendo yake. Hata ukifanya uovu wa aina gani, ukitenda wema mkubwa kuliko ule uovu, then unapunguza karmic effects za ule ubaya. Mfano mimi nimemuua Ben Saanane, Kamanda Mawazo, Azory Gwanda na nilioder Lisu auwawe,

Karma za damu za wote hao, zitakuwa juu yangu. Halafu kukatokea watu 10 waliopaswa kunyongwa mpaka kufa, mimi nikawasamehe, on top of that nikafanya mema mengi kwa wengi, kusaidia yatima, wajane, walionyimwa haki zao, nikatibia wagonjwa masikini, na kugawa mabulungutu ya minoti kila niendapo. Wema huu ni mkubwa kuliko ule ubaya wote, hivyo ninakuwa nime riverse ile bad karma kwa kutengeneza good karma, inafuta ubaya wangu wote na nitabarikiwa.

Hivyo tukifika mbinguni usishangae kumkuta Osama, Saadam na Quadafi peponi, halafu Bush, Blair na Obama wakatupwa motoni.
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom