Recent content by Abdullah Almendhiry

  1. Abdullah Almendhiry

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    aah wapi wangeungana kenya uganda kwanza kisha ndio zanzibar
  2. Abdullah Almendhiry

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Muungano uwepo.ila haki iwe pande zote mbili kinachotufanya wanzanzibar kudai ni haki yetu tunataka mamlaka kamili zanzibar irudi kama zamani ni hilo tu wadau zanzibar ni nchi ila haijijengi kutokana na muungano uliochakachuliwa sasa hapo.kuna tatizo kudai mamlaka ya nchi yetu
  3. Abdullah Almendhiry

    Nidhamu ya kuwapisha waliotuzidi umri kwenye magari imepotelea wapi?

    Hapo ndipo utaona umuhimu wa kuwasaidia watu waliokuzidi umri kama mzee wako
  4. Abdullah Almendhiry

    Nidhamu ya kuwapisha waliotuzidi umri kwenye magari imepotelea wapi?

    Unapomuona mkubwa ni busara kumpisha kwani ndio heshima mfano ukipanda na mzee wako ikiwa mtu hajampisha hua unajisijia katika moyo wako
  5. Abdullah Almendhiry

    Nidhamu ya kuwapisha waliotuzidi umri kwenye magari imepotelea wapi?

    Haahaa nipo kwenye daladala wanaongelea mada hiyo
  6. Abdullah Almendhiry

    Tundu Lissu: CUF ni chama cha Zanzibar!

    Kwa kweli ugoro umemlewesha sana CUF ni chama cha wananchi wa Tanganyika na Zanzibar hata dunia inajua kama akisema hivyo na sisi wanzanzibar tuseme nini kuhusu Chadema au CCM jamaa arudi shule
  7. Abdullah Almendhiry

    Tanganyika nje ya Muungano Inawezekana?

    Zanzibar hamna hii:confused::confused:
  8. Abdullah Almendhiry

    Tanganyika nje ya Muungano Inawezekana?

    :thumbup:Zanzibar kwanza
  9. Abdullah Almendhiry

    Ushauri kwa wazanzibar kuhusu muungano

    Zanzibar kwanza miaka 50 inatosha kwa kweli mwenye macho anaona zanzibar ilikua inaitwa ulaya ndogo leo wapi tunapelekwa maisha yamekua magumu tuachwe tupumue:mad::mad:
  10. Abdullah Almendhiry

    lulu karudi, tembeeni na helmet

    hana kitu maafande washatosheka muhimu condom mbili mbili
  11. Abdullah Almendhiry

    Huyu binti kanikera naomba ushauri

    sawa mzigo anao jiandae ukutane nae akuachie kilo 2 za HIV wewe sasa ni mtu mzima baada ya kuangalia familia yako unahangaika na watoto wadogo jee angekua mtoto wako anafanyiwa mchezo kama huo ungejisikiaje badilika kaka dunia ndio hii hii angalia familia yako ili ije kua inamtambua Mungu
  12. Abdullah Almendhiry

    Siwezi wachukia wanawake wote..!

    pole sana brother naamini umri umeenda usiwaze kua na mpenzi bali tafuta mke ili udunishe familia mimi yamenikuta nimeamua kubadilika nina watoto 3 sasa na demu walionitenda wanaendelea kutanga tanga na njia
Back
Top Bottom