Duuuu!!! namshukuru mamaangu na babaangu walinilea vzr na kwa maadili.Kutukana tusi kama hilo kwa mtu nisie mjua wala hata sijawah kumuona tena kwa vitu vya ajabu eti pesa wanakula wengne.Mungu akusamehe akupe maarifa kidogo angalau ujitambue.
Huwa nasikitika na hili suala,kama ni waharifu si wahukumiwe basi ili ijuliane? Bahati mbaya waislam hatujitambui make mashekh wamefungwa wakati wa J. K lakini aliondoka bila kuacha msukumo wowote wa kujua ukweli wa hli jambo.Tatzo ni kwamba viongozi wote Tz wenye mamlaka ambao ni waislam huwa...
Mkuu wewe mburura kabusa yaani mwanamke unampa afasi ya kukutawala kiasi hicho? kwanza ww kabila gani alaf unakuja unalia lia hapa kwa wanaume wenzio.Mfanya kazi ulimleta asaidie kazi sio kufanya kazi ndoo maana mnamuita msaidiz wa kazi.Mkuu cha kula chako cha wikendi na cha usiku jukum la...
Ni kweli Kiba anazengua ,usiri katika mambo yako kama binadam ni vzr ila kuna mambo kama msanii lazima uwe open ili watu wakufaham hasa washabiki zako na wajifunze kutoka kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.