Still I trust magufuli something good is going to happen he is blessed by ALLAH he is the kind of president we were waiting for I think ALLAH brought him to us
Sipendi sana kudharau chuo wakati mm mwenyew sina uwezo wa kujenga chuo changu kilicho bora much respect kwa mliotuletea vyuo tz vyuo vyote vizuri ispokuwa matzo yaliyopo ktk vyuo hivi ndio changamoto kwa serikali
Issue ni aliyefeli form 4 alafu hajapita hata form6 anatakiwa aresit mtihani wa form 4 kisha apate sifa za kusoma ngazi ya certificate then form six hadi chuo na sio form 4 failure then foundation course hadi chuo hayo yatakuwa masihara
Mm nmemuelewa yule wa wizara ya elimu anasema qualification za mwaka husika hazitahusishwa katika hili ila alichokiongelea kuwa wengi wamefeli form 4 alafu wakaenda moja kwa moja foundation courses then chuo au kafika form six kafeli hajapata sifa za wakati husika huyo ndio mwenye matatzo
Mmmmh!!! Ila Sasa hata kama kaulimbiu ya mheshimiwa ya hapa kazi tu wengine Sasa wanaitafsiri tofauti maana saizi mheshimiwa anawajibika kivingine lakini wawakilishi wanawafanya watu wamchukulie mkuu vibaya, tunamuunga mkono mheshimiwa kwa kuinyoosha nchi lakini hii kauli ya makonda yakwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.