Naomba ufafanuzi kwa mwenye taarifa kamili suala la GPA 3.8 kwenye ajira

Mkuu huko sahihi. Lakini form six kufaulu sana inategemea unasoma comb gani , eg hgl, pcm etc
Yeah hayo ndiyo mambo ya kuzingatiwa sasa ila huu ushuzi wa GPA ndio haufai kabisa maana sisi tulishangaa best student alitajwa ni demu wa mkuu wa department huku sisi ndio tunamsolviaga maswali yaani nilipanic siku hiyo mpaka joho nikaliona limekuwa zito
 
Mwongozo jmn ,,binafsi najua tanzani GPA kubwa n 5.0 sasa SHASHI NALLEY yko imeenda had I 5.5 ufafanuz plz
 
Wametangaza ajira kwa walimu wa sayansi ....source gazeti la mtanzania la December 14/2016
 
1481688856225.jpg
 
Nani kasema mnaajiriwa kwa GPA na nyie mbona hakuna tangazo ilo bana nyie subilini wataongea wao acheni kuzusha vitu
 
Ni ujinga na kukurupuka tu. Wataajiriwa wa vile vyuo tu. Hata mkuu niliwahi kumsikia anaongelea GPA kama kigezo cha weledi, hopeless! Mbona watu wana hadi PhD na kiingereza walichotumia kusomea hawajui kukizungumza? Mambo ya ajabu ajabu tu.
Yani hii nchi sijui inaelekea wapi .mimi naona tunaelekea kuua kabisa ubunifu na maarifa katika kizazi hiki haaingii akilini kutoa ajira kwa GPA tu kama kigezo pekee.GPA na ufahamu wa kazi ni vitu viwili tofauti mimi ninaona ajira zingetolewa kwa kufanya analysis ya nini mtu alichonacho katika kichwa chake kuhusiana na fani husika si GPA za kujuana na kuhonga pesa na chupi tuna mfano wa vyuo vingi tu ambavyo wanatoa GPA kama njugu tu kwa wanafunzi wao
 
Back
Top Bottom