Recent content by Abatmwe

  1. Abatmwe

    Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

    Izo pesa ni kwa ajili ya uchaguzi 2020,tusidanganyike Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Abatmwe

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Naombeni msaada wenu, nataka kutengeneza bwawa la aina hii, nataka kujua izo plastics ni za aina gani na nazipataje?
  3. Abatmwe

    Vodacom Tanzania, mmeamua kunyonya watu baada ya kushindwa kufanya biashara ?

    DAKIKA & MB KIBAO, BUREEE! Ongeza salio kuanzia Sh1000 au zaidi leo UPATE +DK3 Voda-Voda na MB50 BURE kwa saa24. Vigezo na Masharti kuzingatiwa Sasa izo dk na Mb kibao zipo wapi au kama si kutudanganya
  4. Abatmwe

    Kwa Rais Magufuli kutua na ndege hii Chato,sasa ni rasmi Chato International Airport ipo tayari kupokea ndege kubwa za masafa marefu

    Iyo briefcase aliyoshika mlinzi wa pembeni nasikia ina pesa, huwaga ni Sh ngapi?
  5. Abatmwe

    Suala la kuachwa Ajibu, Taifa Stars

    Ukiwa kama mdau wa michezo, nimejaribu kuangalia kikosi kilichotajwa, hususani kwa upande wa washambuliaji nimeshindwa kuelewa kwann watu walalamika swala la kuachwa Ajibu Katika list apo chini, naona kuna wigo wa maprofessional players tu sasa sijajua tumtoe nani tumweke Ajibu Ushauri wako tu
  6. Abatmwe

    Kuku aina ya kuchi

    Wadau nahitaji vifaranga vya kuku aina ya kuchi, mwenye navyo anaweza nicheki. Kama itawezekana aweke sample na bei umu
  7. Abatmwe

    Tanzania yawa ya nane nchi masikini zaidi Duniani

    Sawa umesomeka mkuu, inawezekana Wazungu wameanza zengwe tu kutuchafua
  8. Abatmwe

    Tanzania yawa ya nane nchi masikini zaidi Duniani

    Aisee hawa jamaa labda wanaona tunafanya maendeleo kwa pesa za ndani ndo wameamua kutuchafua
  9. Abatmwe

    Tanzania yawa ya nane nchi masikini zaidi Duniani

    Kuna sehemu tunakwama kwakweli, kuna haja ya kupata information kwa data na si kwenye majukwaa
  10. Abatmwe

    Tanzania yawa ya nane nchi masikini zaidi Duniani

    Izo many ishu kwanini zisitupeleke nafasi za juu sasa
  11. Abatmwe

    Tanzania yawa ya nane nchi masikini zaidi Duniani

    Pato la Taifa kwa kila mtu huchukuliwa kuwa ni kiashiria cha kiwango cha maisha ya nchi inayotolewa, kwa kuwa inaonyesha utajiri wastani wa kila mtu anayeishi nchini. Kwa hiyo ni njia ya kawaida inayotumiwa kulinganisha jinsi nchi maskini au tajiri zinahusiana. Tulipofika karibu na 2018...
  12. Abatmwe

    Ni addiction gani imekushinda kuiacha??

    Aisee mie siwezi acha piga punyeto
  13. Abatmwe

    Ufunguzi wa Kampuni inayojihusisha na installation za Umeme

    Wadau naomba msaada na ushauri kwenu Nataka kufungua kampuni itakao fanya mambo yafuatayo 1- Wirering za majumbani, na kwenye maghorofa 2- Installation ya umeme kwenye mitambo Nataka kujua taratibu za kufungua kampuni inakuwaje haswa ukijua Kampuni za umeme zina process tofauti kidogo (Najua...
  14. Abatmwe

    Kati ya wanaume mabachela na walio-oa ni wapi wanakula vizuri zaidi.

    Ishu sio budget, ishu ni kula vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Abatmwe

    500 Business Ideas (Mawazo ya Biashara 500)

    2019 NDIO ISHAWADIA.. 1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha. 3. Kutengeneza na kuuza tofali 4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali. 5. Kuanzisha kituo cha...
Back
Top Bottom