Abatmwe
Senior Member
- Dec 2, 2014
- 110
- 79
Wadau naomba msaada na ushauri kwenu
Nataka kufungua kampuni itakao fanya mambo yafuatayo
1- Wirering za majumbani, na kwenye maghorofa
2- Installation ya umeme kwenye mitambo
Nataka kujua taratibu za kufungua kampuni inakuwaje haswa ukijua Kampuni za umeme zina process tofauti kidogo (Najua kuna zaidi ya Brela))na zingine
Kama ikiwezekana nikipata mtu anaweza kunisaidia kufanikisha mchakato pia itakuwa vizuri
Nataka kufungua kampuni itakao fanya mambo yafuatayo
1- Wirering za majumbani, na kwenye maghorofa
2- Installation ya umeme kwenye mitambo
Nataka kujua taratibu za kufungua kampuni inakuwaje haswa ukijua Kampuni za umeme zina process tofauti kidogo (Najua kuna zaidi ya Brela))na zingine
Kama ikiwezekana nikipata mtu anaweza kunisaidia kufanikisha mchakato pia itakuwa vizuri