Recent content by 98mzavallah

  1. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    3o I5o7
  2. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania UJAMBAZI: Magari yote yenye tinted yapigwa marufuku na Polisi jijini Dar

    Nashindwa kukuelewa ni kitu gani kinakufanya kushabikia hili kama tinted zilikufanya ukaumizwa ni wewe... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Ni ipi njia bora ya kumwachisha mtoto kunyonya maziwa ya mama?

    Endelea kunyonyesha Muda bado wa mtoto kuachishwa nyonyo
  4. 98mzavallah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliyenitoroka amerudi na mimba

    mrudishe ndani
  5. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Wadada wa Uchumi Supermarket - Quality Center

    Sana sana tena nasema nipeni pipi kama hauna hiyo chenji... Lkn imekuwa ni kila siku
  6. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Wadada wa Uchumi Supermarket - Quality Center

    Jaman wahusika wa uchumi ni kwa ajili gani hawachukui atua dhidi ya hii ishu, imekiwa ni kero kwa wateja
  7. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Natafuta WIMBO WA CCM Mbele kwa Mbele

    Jaman link hiyo hapo juu vuteni mzigo kwa kutumia hiyo link ... Namba zenu ni za nini hapo wakat njia umeshaonyeshwa
  8. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania hii beach iko wapi?

    Mwembe yanga
  9. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Wema tishio

    Ni kweli kabisa kuna umuhimu huo
  10. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Tabia hizi katika Supermarkets zinaboa

    Kweli kajitabia cha wafanyakazi wa supermarkets kutorudisha chenji ya shillingi 100 & 200 itakwisha lini? Utasikia samahani kaka/ dada, sina sh 100. Mi sitaki kuamini ya kwamba mauzo ya siku nzima katika supermarkets inakosekana shilingi 100 na 200!. Kwa sasa imekua kama ni kamchezo cha...
  11. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Napigwa majungu kuwa natembelea gari ya kike

    Sijawai kusikia toyota murano, mleta mada ni mzushi na kastory chake, humu hakunaga kiki kajipange upya na jua aina za magari
  12. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Toyota corsa inauzwa 2.5m

    Jaman ukiona uwezi au hauna haja ya kununua, base ni bora tu upite kimya kwa maana unavyo ponda kuhusiana na biashara ya mtu ni kumrudisha nyuma mteja wake ambaye alikua na nia ya kuichukua hiyo gari
  13. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Mapenzi

    Kama ni wewe ndio chanzo cha ilo tatizo basi usichoke kujishusha, inawezekana mwenzio amekwazika na kitendo ulichokifanya lkn ukaribu wako na maneno yako yanaweza mfanya ajue ni kwamba uliteleza. Utaweza pendwa tena. Mapenza ni kama siasa tu, uongo na swaga zako utakubalika tu.
  14. 98mzavallah

    JamiiForums Tanzania Gari linauzwa

    Kaka asante kwa kumwelewesha, ila ktk jamii watu kama hao ni hawakosekani maaana mpaka namba ya simu kapewa hapo lakin bado hajaelewa
Back
Top Bottom