Kweli kajitabia cha wafanyakazi wa supermarkets kutorudisha chenji ya shillingi 100 & 200 itakwisha lini?
Utasikia samahani kaka/ dada, sina sh 100. Mi sitaki kuamini ya kwamba mauzo ya siku nzima katika supermarkets inakosekana shilingi 100 na 200!.
Kwa sasa imekua kama ni kamchezo cha...
Jaman ukiona uwezi au hauna haja ya kununua, base ni bora tu upite kimya kwa maana unavyo ponda kuhusiana na biashara ya mtu ni kumrudisha nyuma mteja wake ambaye alikua na nia ya kuichukua hiyo gari
Kama ni wewe ndio chanzo cha ilo tatizo basi usichoke kujishusha, inawezekana mwenzio amekwazika na kitendo ulichokifanya lkn ukaribu wako na maneno yako yanaweza mfanya ajue ni kwamba uliteleza. Utaweza pendwa tena. Mapenza ni kama siasa tu, uongo na swaga zako utakubalika tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.