Recent content by 900 Itapendeza zaidi

  1. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Zuchu atangaza kuachana na Mume wake Diamond Platnumz

    Sawa sisi huku tunaendelea na zoezi letu la kuweka tonetone kwenye kibubu cha cdm
  2. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Yanga yatozwa Tsh. Milioni 100 kwa kutumia nyumba ya mtu binafsi badala ya vyumba rasmi vya kubadilishia nguo

    mbona kawaida yao tulishawazoea vyura hawajawahi kushinda kwa haki mchezo wowote ule
  3. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

    kwahiyo hata wewe unaendeleza tu hujaacha
  4. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Nawaonea sana huruma vijana na wanaotaka kuanza biashara maana, sehemu nzuri za biashara zimeshaisha

    Business is all about your mindset and mentality
  5. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Serikali inapokosa uhalali wa kisiasa kubaki madarakani basi inakua serikali ya vyombo vya dola sio serikali iliyotokana na wananchi bali dola

    nahuwa inakuwa katili kwa raia wake na kuwaua kwao wanaona nikama wanafanya ibada
  6. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dereva wa John Heche akutwa amefariki chumbani Kigoma

    Poleni sana Mungu awapiganie makamanda, Hapo inaonekana Heche alikuwa tageted. 77 tuko palepale
  7. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta imeshuka Kwa Tsh 96/= pekee, uzalendo Kwa nchi hii utatokea wapi?

    himilivu kwako uliyezigeuza fedha kuwa matandiko,huku walalahoi wakihenya angalau ka mlo kamoja
  8. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Kuna ithibati gani ya kuthibitisha leo ni Jumatatu?

    ndiyo baada ya jumatano ilitakiwa juma sita ajabu unakutana na alhamisi
  9. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    wazee walikuwa na akili sana walikuwa wanatumia nijia ya subsitutinal method badala ya elimination
  10. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    pole kwa changamoto we jipe moyo mtapata watoto siyo mtoto
  11. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Kuna ithibati gani ya kuthibitisha leo ni Jumatatu?

    ikifika jumatano siku inayofuata tunatakiwa tuseme juma sita inayofuata juma saba
  12. 900 Itapendeza zaidi

    JamiiForums Tanzania Je, serikali yatangaza hali ya dharura kuelekea tarehe 7/7 (Sabasaba)?

    wananchi pia hatucheki na kima kuandamana ni hakiya kikatiba kwan tatizo liko wapi watawala waache woga za kijinga
Back
Top Bottom