Acha kuwa mtumwa wa mapenzi kaka huyo mwanamke hana malengo nawe yupo ambae anampmda kwa dhati kwa picha iliyopo yupo kwako kwa msaada wa kitu flani ukitaka kuamn hayo subili abahatike kupata kaz utapata majibu
Viongozi wa police naamn mpo humu jf nawaomba myafanyie kazi maoni ya wananchi kiukwel inabd mjipange vya kutosha kurudisha heshma ya jeshi la police iliypotea ktk miaka hii tumechoka kupoteza askar wetu ambao wanapewa mafunzo moshi kutokana aa kodi zetu ifike kpnd mungane muwe kitu 1 ktk hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.