Recent content by 707

  1. 707

    Najuta kumpenda mwanamke huyu, nashindwa kumuacha

    Acha kuwa mtumwa wa mapenzi kaka huyo mwanamke hana malengo nawe yupo ambae anampmda kwa dhati kwa picha iliyopo yupo kwako kwa msaada wa kitu flani ukitaka kuamn hayo subili abahatike kupata kaz utapata majibu
  2. 707

    Mauaji ya Polisi na raia Stakishari, Polisi fanyeni haya kuwapata wauaji

    Viongozi wa police naamn mpo humu jf nawaomba myafanyie kazi maoni ya wananchi kiukwel inabd mjipange vya kutosha kurudisha heshma ya jeshi la police iliypotea ktk miaka hii tumechoka kupoteza askar wetu ambao wanapewa mafunzo moshi kutokana aa kodi zetu ifike kpnd mungane muwe kitu 1 ktk hili...
  3. 707

    CRDB Mbezi Beach huduma zao ni mbovu mbovu sijapata kuona

    Khaaaaa upo sahh yule dada ni jeur sijapata kuona yan ana amri kwa baadhi ya mabos wake ya juu km ye ndo Branch manager vile
  4. 707

    Nahitaji kutimiza ndoto zangu

    Ndoto gani?
  5. 707

    VIDEO : Polisi watumia Nguvu kutuliza maandamno CCM

    Sasa ulitaka watumie nn wacha watumie nguvu maana baadhi ya sisi Raia atuskii eeeeh police wa ccm nasema tupigeni tu
  6. 707

    List ya Mastaa Bongo wanaoongoza kwa kupigilia Suti kali, Diamond kinara!

    Mbona umemsahau mzee kingwendu jaman anastail awe namba 2 hapo
  7. 707

    GE2015 Uchambuzi niliowahi kuufanya juu ya John Pombe Magufuli - Mtatiro

    Stori yako inafundisha sana toa kitabu utauza sana haswa katika kipindi hiki husika
  8. 707

    Leo ndio umeonekana umuhimu wa JamiiForums

    Ishaanza jamani
  9. 707

    Edward Lowassa special thread

    Team lowasa tupo hapa tunaugulia maumivu makali mzee lowasa yupo hapa anacheza na familia yake kama ajui kinachoendelea vile
  10. 707

    Edward Lowassa special thread

    Ngoja niamie Team membe taratibuu
  11. 707

    Ajali ya gari Bunju, wananchi wachoma Kituo cha Polisi

    Hahaaaa punguza hasira mkuu twende taratibu eti unasema??????
  12. 707

    Ajali ya gari Bunju, wananchi wachoma Kituo cha Polisi

    Mbn wananchi wenyewe wadogo hao eeeeh ffu tupa bomu 1 tu abaki mtu
  13. 707

    Nimemchomea mke wangu kazini kuwa anatumia cheti feki

    Hii ni stori bora sana katika nilizowai kusoma maishani mwangu ungekuwa karbu ngekupa sh 5000 ukanywe hata bia
Back
Top Bottom