Recent content by 66KV

  1. 6

    JamiiForums Tanzania Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Mimi pia Nina akili za kuingia huko Kijiji ndichi ndani kabisa,nikakae kwenye eneo la hela kama mbili hivi ,nasemezana na kuku na mbuzi tu
  2. 6

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sajili mali kwa jina la mama au ndugu yako anaejitambua, hutapatwa na stress yoyote kuhusu mgawanyo wa mali na mwenzako mliekutana mkiwa na meno 32

    Kama una watoto naye ,huu ushauri ni batili,mama hakimbii watoto,ila ndugu yako anaweza kuwakataa
  3. 6

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Yaona Aibu Kuagiza Mahindi Tanzania Yaagiza mahindi Zambia ambayo Tanzania Tuliwauzia Walipokuwa na Njaa

    Labda yapande Ndege yakipita TZ kwenye malori tuyapige 200% tarrifs
  4. 6

    JamiiForums Tanzania Mbunge apata kigugumizi kuongea Kingereza. Aomba po! "I'm sorry"

    It is HIGH time sio HIGHLY time mkuu
  5. 6

    JamiiForums Tanzania Nilipika bangi kama mboga za majani

    Bange inaamsha akili, mtu yeyote ambaye akili yake umeamka hatawaliki kirahisi ,hivyo serikali zinazuia matumizi ya hiki kichangamshi
  6. 6

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Kuwa mtu wa maombi kama unavyomshauri mjumbe hapo juu
  7. 6

    JamiiForums Tanzania Ni neno gani la kiingereza ambalo hukubaliani na spelling zake ila unakubali tu ili mawasiliano yafanyike

    Neno SUBTRACT ulimi huwa unakataa ,ulimi unataka SUBSTRACT
  8. 6

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Mbeya mjini wasipodhibitiwa watajenga hadi juu ya Kawetere, matokeo yake si mazuri baadae

    Enzi za Ukoloni mwingereza aliweka base yake Kenya Nairobi ,sisi tulikuwa Protectorate ,maana sisi tulipokwa toka kwa mjerumani,ni wonder Nairobi Iko juu ya Daslam
  9. 6

    JamiiForums Tanzania Nini hutoa baada ya mtu kuzikwa

    Asee pole sana Sister
  10. 6

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Mzee ukiona unatoa Sana hela hiyo ni Bendera ya CAMBODIA(Red flag)
  11. 6

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Tofauti yako na Hawa wanaonunua ni kuwa ,wewe umeamua kutokujua huyo unayekwenda naye huwa anauzia wengine ila amejibrand kwako Ili akupasue vizuri, Wa usiku ndo hawahawa wa mchana, Nikupongeze ni msimamo mzuri
  12. 6

    JamiiForums Tanzania Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    Hiyo nguzo ndio Ile nguzo ya Imani
  13. 6

    JamiiForums Tanzania Members gani wa JF unadhani wanaweza kutengeneza super couple? Wapo Compatible japo sio wapenzi

    Braza Evelyn Salt mmemuweka na nani?
  14. 6

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naanza kushindwa mapema. Naombeni msaada wenu

    Mwanao anaakusalimia,hii salaam imekaa kinafiki sana
Back
Top Bottom