Recent content by 66KV

  1. 6

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Una bikra?
  2. 6

    JamiiForums Tanzania Hivi na nyie wake zenu wanawapa unyumba kwa kunung'unika kama huyu wangu?

    Mzee umewahi ona jogoo wa kuku anavohustle kupata huduma? Iko hivo Kila pahala
  3. 6

    JamiiForums Tanzania Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Mimi pia Nina akili za kuingia huko Kijiji ndichi ndani kabisa,nikakae kwenye eneo la hela kama mbili hivi ,nasemezana na kuku na mbuzi tu
  4. 6

    JamiiForums Tanzania Sajili mali kwa jina la mama au ndugu yako anaejitambua, hutapatwa na stress yoyote kuhusu mgawanyo wa mali na mwenzako mliekutana mkiwa na meno 32

    Kama una watoto naye ,huu ushauri ni batili,mama hakimbii watoto,ila ndugu yako anaweza kuwakataa
  5. 6

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Yaona Aibu Kuagiza Mahindi Tanzania Yaagiza mahindi Zambia ambayo Tanzania Tuliwauzia Walipokuwa na Njaa

    Labda yapande Ndege yakipita TZ kwenye malori tuyapige 200% tarrifs
  6. 6

    JamiiForums Tanzania Mbunge apata kigugumizi kuongea Kingereza. Aomba po! "I'm sorry"

    It is HIGH time sio HIGHLY time mkuu
  7. 6

    JamiiForums Tanzania Nilipika bangi kama mboga za majani

    Bange inaamsha akili, mtu yeyote ambaye akili yake umeamka hatawaliki kirahisi ,hivyo serikali zinazuia matumizi ya hiki kichangamshi
  8. 6

    JamiiForums Tanzania Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Kuwa mtu wa maombi kama unavyomshauri mjumbe hapo juu
  9. 6

    JamiiForums Tanzania Ni neno gani la kiingereza ambalo hukubaliani na spelling zake ila unakubali tu ili mawasiliano yafanyike

    Neno SUBTRACT ulimi huwa unakataa ,ulimi unataka SUBSTRACT
  10. 6

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Mbeya mjini wasipodhibitiwa watajenga hadi juu ya Kawetere, matokeo yake si mazuri baadae

    Enzi za Ukoloni mwingereza aliweka base yake Kenya Nairobi ,sisi tulikuwa Protectorate ,maana sisi tulipokwa toka kwa mjerumani,ni wonder Nairobi Iko juu ya Daslam
  11. 6

    JamiiForums Tanzania Nini hutoa baada ya mtu kuzikwa

    Asee pole sana Sister
  12. 6

    JamiiForums Tanzania Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Mzee ukiona unatoa Sana hela hiyo ni Bendera ya CAMBODIA(Red flag)
  13. 6

    JamiiForums Tanzania Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Tofauti yako na Hawa wanaonunua ni kuwa ,wewe umeamua kutokujua huyo unayekwenda naye huwa anauzia wengine ila amejibrand kwako Ili akupasue vizuri, Wa usiku ndo hawahawa wa mchana, Nikupongeze ni msimamo mzuri
  14. 6

    JamiiForums Tanzania Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    Hiyo nguzo ndio Ile nguzo ya Imani
Back
Top Bottom