Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,152
- 43,113
Njemu 🤣Uzi wa Wavuta Bangi
Njemu 🤣Uzi wa Wavuta Bangi
Ugali mboga bhangi...!?Sisi bangi tumekula sana kama mboga mwaka 1993 hivi nikiwa mdogo. Ulikuwa kujichanganya na karanga inakuwa tamu kweli.
Mungu aliumba majani kwa ajili ya chakula na tiba,ila mwanadamu ameyageuza kuwa haramu.Huwa najiuliza ......ni nani aliyesema hii kitu ni haramu??
Tupe heshima yetu tafadhali😂Uzi wa Wavuta Bangi
Hivi unajua kuna ganja dume na ganja jike?Aiseeee ndiyo maana umezeeka na mawazo ya hovyo sana muda wote unawazia mbususu tu.
Sifahamu hebu mzee wa stimu nisanue.Hivi unajua kuna ganja dume na ganja jike?
Na wewe mkush ukachangia 😀😀😀😀Uzi wa Wavuta Bangi
Kwa hiyo na wewe ukizeeka utakuwa mtu wa hovyo au unafikiri hautazeeka?😂Wazee ni watu wa hovyo kabisa,..
Yeah! Bila shaka nitakuwa zumbukuku wa maarifa.