Nilipika bangi kama mboga za majani

Nilipika bangi kama mboga za majani

Nje ya mada.

Hivi inatokea unapata safari ya ghafla, labda unatakiwa kwenda mkoa, unapewa gari halafu uchague dereva.

Mmoja kalewa pombe na mwingine kavuta bhang, utachagua yupi kukupeleka.
 
Bange inaamsha akili, mtu yeyote ambaye akili yake umeamka hatawaliki kirahisi ,hivyo serikali zinazuia matumizi ya hiki kichangamshi
 
Back
Top Bottom