fungua kibanda cha mboga mboga_dagaa, furu,vituguu,nyanya,mafuta ya kula,maharage,mchele> ila sijui huko uliko kama mazingira yanaruhusu ungekuwa mkoani huku hiyo biashara ni mkombozi pia inafaida mno na hiyo pesa mkoani huku ni ndefu maana hatuna matumizi mengi ya kimaisha yaani frem tunakodi...