Recent content by 567

  1. 5

    Dalili za mwanamke asiyekupenda kwa dhati

    nimekupata sana mwanamke hajui anachokitafuta si pesa wala nini !
  2. 5

    Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

    mr nitafute shida yako ni ndogo sana
  3. 5

    Make Kilimo Great Again: Tunahitaji Movement ya Vijana kurudi Vijijini, maana hii miji inazaa kizazi maskini

    kilimo hakina faida kwa sasa (unatumia gharama kubwa kulima unakuja kuuza mazao kwa bei ndogo!) au kutokuvuna kabisa kwa ukosefu wa mvua!!!.
  4. 5

    Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

    fungua kibanda cha mahitaji ya nyumbani mboga mboga, mchele,mafuta,maharage,nyanya, n.k utakuja kunishukuru baadae hii biashara inalipa sana hususa ni mkoani
  5. 5

    Kwa mtaji wa million 1 nifanye biashara gani?

    fungua kibanda cha mboga mboga_dagaa, furu,vituguu,nyanya,mafuta ya kula,maharage,mchele> ila sijui huko uliko kama mazingira yanaruhusu ungekuwa mkoani huku hiyo biashara ni mkombozi pia inafaida mno na hiyo pesa mkoani huku ni ndefu maana hatuna matumizi mengi ya kimaisha yaani frem tunakodi...
  6. 5

    Kupata Ajira mpaka utoe Ujira

    kwema humu? kwa dunia ya sasa kupata kitu mpaka utoe kitu wazee.
  7. 5

    Najuta kununua simu ya Milioni 2.3

    Jambo Afrika? Mimi kama kijana wa sasa mwezi 4 mwaka huu nilinunua cm kali iphone matata ya million 2.3.. Ila nimekuja kukundua kuwa nimekimbilia maisha ya Wastafu! So hiyo pesa bora ningeiweka kwenye miradi mingne tu kiukweli najuta.
  8. 5

    Kuuza duka yataka moyo

    Ee kwema wadau?__ni yule yule kijicho kwenye sket a.k.a mzinzi mjanja asiyekamatika, kutoka Dodoma Ndugu zangu me nauza duka kama miaka 6 sasa mafanikio nimepata mengi tu ila hii biashara inataka uwe mvumilivu na uwe na siri sana (1) Uwe na maisha A na B yaani mchana uonekane mlokole...
Back
Top Bottom