Recent content by 4life

  1. 4life

    Shule gani nzuri ya kwenda form 1?

    Nenda shule za ufundi Mfano tanga tech....utanishukulu badae
  2. 4life

    Naombeni wazo la Biashara

    1.fuga kuku wa kisasa 2.fungua biashara ya kifedha mfano mpesa,tigopesa...nk 3.fungua banda za chips
  3. 4life

    Unakumbuka mtaji wa biashara yako uliupata wapi?

    aisee atar sanaaa....ilianzia msituni simbanguru (manyoni) wazee wa machimbo ya mgodi wanapajua ...aani niliingia hifazi nikasoti mawe ya dhahabu alafu kutoka ikawa kimbebe sikuio game walikua na doria kali sanaaa halafu kukawa na mvua kubwa....lakini baada ya yote mola alisaidia nikatoka hadi...
  4. 4life

    Nina wasiwasi sitapata mkopo wa chuo nisaidieni mawazo

    Hapo usiwe na wasiwaisi kijana,kama ulikosea kutuma taarifa unaweza kurekebisha taarifa hio harafu ukawatumia bodi kupitia email yao kisha wao wataifanyia kazi na kuweka taarifa kamili.
  5. 4life

    Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

    Ontario.....mwenye kuijua historia ake huyo jamaa anipstie.
  6. 4life

    Wauza smartphone tukutane hapa

    samsang s7edge 250k Morogoro
  7. 4life

    Toa sababu kwa nini uliachana nae

    kwa7bu ya distance love Sent using Jamii Forums mobile app
  8. 4life

    Huyu mwanafunzi anaweza kwenda advance??

    inawezekana kabisa kujiunga na kidato cha tano Sent using Jamii Forums mobile app
  9. 4life

    MSAADA PLEASE

    Kunatatizo kwani boss
  10. 4life

    MSAADA PLEASE

    Habarini wana jf. namdogo wangu anasoma form five anataka akasome tution mchikichini.mwwnye ratiba ya vipindi kwa mgote na mandia anipatie.
  11. 4life

    MPYA: MASWALI NA MAJIBU KUHUSU UTOAJI MIKOPO KWA 2018/2019

    MPYA: MASWALI NA MAJIBU KUHUSU UTOAJI MIKOPO KWA 2018/2019
  12. 4life

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    matusi yanini kikubwa tunatakiwa kueleweshana aani ambaye hajui ajuzwe jaman
Back
Top Bottom