Upo wapi? Kama upo DSM mpe nauli akaulize mwenyewe.Habarini wana jf.
namdogo wangu anasoma form five anataka akasome tution mchikichini.mwwnye ratiba ya vipindi kwa mgote na mandia anipatie.
Aje nmfundishe mkuu kama yuko seriouslyHabarini wana jf.
namdogo wangu anasoma form five anataka akasome tution mchikichini.mwwnye ratiba ya vipindi kwa mgote na mandia anipatie.