MSAADA PLEASE

4life

Member
Aug 1, 2018
46
10
Habarini wana jf.
namdogo wangu anasoma form five anataka akasome tution mchikichini.mwwnye ratiba ya vipindi kwa mgote na mandia anipatie.
 
Habarini wana jf.
namdogo wangu anasoma form five anataka akasome tution mchikichini.mwwnye ratiba ya vipindi kwa mgote na mandia anipatie.
Upo wapi? Kama upo DSM mpe nauli akaulize mwenyewe.
 
kitambo sana hayo maeneo hapo nilikuwa nasindikiza wadau tu sio kusoma.

Mkuu kwani mdogo wako anakaa wapiz we mwambie tu aende mwenyewe kila kitu atajua hukohuko maana kwanza hakuna ratiba maalumu watu wanapigia pindi hata dirishani, cha msingi ajue alichofuata kule sijui kwa miaka hii kama kuna utaratibu mzuri.
 
Back
Top Bottom