Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,391
- 88,767
Naweza nikaamka tu nikaona huyu aliepo hanifai basi nakupotezea na wewe taratibu utachoka utajitoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee huisi labla utakuwa na tatizo sio hali ya kawaida.Naweza nikaamka tu nikaona huyu aliepo hanifai basi nakupotezea na wewe taratibu utachoka utajitoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa ni kwamba nakua na mtu nione kama nitaweza kumpenda halafu nagundua moyo umegoma kabisa sasa cha kufanya ni kupotezea. Halafu moyo wangu ukishaquestion mapenzi niliyonayo juu ya mtu ujue lazima nimuacheAisee huisi labla utakuwa na tatizo sio hali ya kawaida.
Pole sana unaonekana umeumizwa na mtu ambaye ulimpenda sana.Tatizo kubwa ni kwamba nakua na mtu nione kama nitaweza kumpenda halafu nagundua moyo umegoma kabisa sasa cha kufanya ni kupotezea. Halafu moyo wangu ukishaquestion mapenzi niliyonayo juu ya mtu ujue lazima nimuache
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU,Pole sana unaonekana umeumizwa na mtu ambaye ulimpenda sana.
Kweli niliumizwa sio kidogo mpaka jimoyo limekua na ganzi... nampenda mtu siku mbili tatu naona tu siwezi namuacha...Pole sana unaonekana umeumizwa na mtu ambaye ulimpenda sana.
Yaani fasta una niamlisha sio endelea kusubiri.MKUU,
NI_pm fasta mkuu.
"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
Tatizo lako linatibika ukipa mshauri nakuombea ulitatue haraka hiyo kwako sio hali ya kawaida dadaKweli niliumizwa sio kidogo mpaka jimoyo limekua na ganzi... nampenda mtu siku mbili tatu naona tu siwezi namuacha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tu sijapata mtu wa kumpenda ile ile mbona nitaacha ubandidu...Tatizo lako linatibika ukipa mshauri nakuombea ulitatue haraka hiyo kwako sio hali ya kawaida dada
Nikupe pole ni kwamba unawaumiza wanao kupenda kwa dhatiBado tu sijapata mtu wa kumpenda ile ile mbona nitaacha ubandidu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya kama unanitongoza ivi
Siwaumizi ila hawanipi Sababu bado ya kwanini nisiwaacheNikupe pole ni kwamba unawaumiza wanao kupenda kwa dhati
Depletion ujue nayo inaongezeka ata wakukupenda tunapungua pia zingatiaBado tu sijapata mtu wa kumpenda ile ile mbona nitaacha ubandidu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mkiisha sawa piaDepletion ujue nayo inaongezeka ata wakukupenda tunapungua pia zingatia
.
Sent using Jamii Forums mobile app