Kwa nn unalazimisha jina linalotajwa lifanane na lako?
Hakuna mahala pamesemwa nanatumia chet cha kidato cha sita ...bali wanasema ni kidato cha nne chenye division 3 (points 25)
Kwa maana hii hakuna mtu anayekuzungumzia hapa.Na wala si wewe...kunywa maji mwanangu
Uuu ni uharo mwingine....sorry to say
Maana unasema tunachukua waliojitoa...ina maana hao mabwana zako wanachukua wasiojitoa?
But...nimejua wewe ni nguruwe mweusi sina shaka.....utanyooka tu
Mnaumizwa sana na ruzuku ya chadema...mnafikiri ruzuku ndio kila kitu?
Ccm kirumba....jamuhuri morogoro...jamuhuri dodoma...sheik amri abeid arusha
Viwanja hohehae...vinaingiza mapato kutokana na michezo na upangishaji...ujiulizi kwann viko choka mbaya?....ruzuku na vyanzo vyake inatumikaje
...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.