zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,688
Hahhahahahahahaha Ccm Bhana?? Eti ametoswa lowasa na bado ccm ipo eti eeh...... ila mkiambiwa muweke tume huru mnakuwa wakali. Ya'll know bila lubuva mngekuwa TCD sahivi so shida sio lowasa au wema kuondoka ni hta magufuli akiondoka bado ccm itabaki madarakani sio kwa sababu mnapendwa sana ila kwa kua tume sio huru...... kuprove hili utaona 2020 voter turnout itakuwa ndogo tokea uhuru coz wanajua hta wakichagua upinzani bado hautotangazwaAmetoswa Lowassa na bado CCM ipo!!! Who is Wema!?