kwa elimu ipi! kwani ulipokuwa ukijaza fomu kwakuchagua hayao masomo uliyosoma kidato cha sita ulikuwa unachagua kwa kutumia kigezo cha elimu ipi? maana vilevile ulichagua ilihali matokeo yalikuwa bado. wewe sema kwamba hukuwa na wazo la kuwa trafic ila limekuja baada ya kupata hofu ya kukaa...
Ulivyo nishauri bwana Nyabaheta ni vizuri , nimekuwa nikitunza pesa kidogokidogo tangu nilipopata wazo hili nikiwa nafanya mafunzo kwa vitendo kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu mwaka 2010. mpaka sasa nimetunza kiasi cha fedha za tanzania 1,000,000. pengine kadiri alivyo sema bwana Lyamber...
RUSSIA na CHINA wakiwa upande wa N korea mpira utakuwa mtamu, ni kweli tutayumba kiuchumi lakini naona bora kuyumba kwa miaka michache kuliko kuendelea kutawalwa na wamarekani ambao wanawa shauri vibaya WB na IMF kutukandamiza kwa sera zao mbaya ktk chumi zetu. akiangushwa USA raha dunia nzima...
Ndugu katika jamii forum, mimi ni kijana wa kitanzania, nategemea kuhitimu mafunzo ya uhandisi katika fani ya uchenjuaji madini( mineral processing Engineering) mwezi wa sita mwaka huu. kutokana na namna wachimbaji wadogo wadogo wa madini hasa dhahabu kutokuwa na uwezo wa kukamata madini mengi...
mimi sijui na sitaki kujua kwanini watu wanapendelea ama wadogo zao au ndugu zao kupata kazi, pengine wana taka tufikiri kujiajiri ili baadaye tuwazidi pesa maana kwenye mashika au mabank hakuna pesa. kuwa mfanyakazi kule nikutafuta sifa wala siyo pesa, jaribu kujishughulisha na shughuli za...
ukisema jina lina aksi maisha ya mjina siku za usoni hilo siyo sahihi sana maana maisha ya mtu au jamii huendana na msingi na mfumo wa maisha wanayoishi, rakini cha msingi zaidi mwenye kuamua maisha yawe namna gani ni mtu mwenyewe mhusika wa hayo maisha, wengi wamepatwa na misukosuko na...
pengine yawezekana kuna ukweli lakini kati ya homoni ya thyrotropin realising homorne na serotonin homorne ipi hasa ndiyo inaondoa msongo wa mawazo maana utafiti unaeleza zote zatoa msongo wa mawazo. ni mkanganyiko unaonipa tabu kuelewa huo utafiti
mimi sidhani mme akitamka fanya maarifa mke wangu anamaanisha awe na hicho mnaita kibuzi. kumbuka akiri ni nywele kila mmoja anazake, mwanamme anaweza kuwaza hadi mwisho bila kupata jawabu la kutatua matatizo katika familia yake na kwakuwa mke wake ndiyo msaidizi wake wa karibu ndiyo huhitimisha...
sidhani kufikri kuwa vita vya Kagera ndo jambo la kututesa kiuchumi kwa miaka yote hiyo. ulazima wa kuingia vitani ulikuwepo na tulishinda kwakukomboa kagera iliyotekwa na mnyama huyo, kwakuwa vitu vilitumika ni jambolilo wazi kuwa lazima kuzalisha pengine kikwazo cha maendeleo ni kutokuunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.