Habar wanajf
mwenzenu nina tatizo naomben ushauri, nimeoa nina mtoto mmoja lkn mazingira ya kazi yangu magumu yanapelekea kuwa na familia yangu wiki mbili katika Miezi minne, je mnahisi natimiza majukumu ya famili kweli?ushauri tafadhari wapendwa?najiona sistahili kuwa baba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.