Millions of Galaxies,billions of stars na hivyo vyote ni observable universe bado tunahitaji telescopes zenye nguvu sana kuona mbali zaid,Viumbe vilivyoendelea na ambavyo viko nyuma kimaendeleo kuliko vya duniani vipo kwenye sayari nyingine,ujuzi huu katuletea huyohuyo mzungu congrats kwake.
Mbeya my ***...n favorite city,Mbeya ya pil kama sio ya tatu nyie na kaarusha kenu kwa ukubwa ni sawa na mbaliz tu kwa mbeya na idad ya watu arusha mtasubir so pato la taifa ni consumption ya bidhaa zinazokatwa kodi haijalish zimetengenezwa wap,na boda ni ya Malawi na ya Zambia zote zipo mbey...
Mafundisho yenu yamejaa vitisho,mara utachomwa moto mara utapewa laana hamjengi hoja Mungu wenu alitokea wapi lakin na alisimama wap wakati anaumba ulimwengu(universe).
Dangote kaenda kutoa povu lake huko over Tanzania hebu jiulize kama uwekezaji wake ndan ya nchi kama marekani uende hovyo kwasababu tu ya figisu za whites over Africans riches angetoa povu kama hiyo?
Mh mbona wakristu hawanaga sensa na wanafanya maendeleo makubwa sana kama ujenzi wa MASHULE,HOSPITALI bado sijaelewa hii sensa lengo lake labda kama wanataka kujianzishia taifa lao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.