Recent content by 17n

  1. 17n

    Certificate of incorporation

    Wakuu, Naomba mwenye soft copy ya document tajwa hapo juu anisaidie watsap namba 0658231393
  2. 17n

    JINSI YA KUITUMIA SOFTWARE YA MASTERSERIES

    Kwa wale wahandisi wenzangu naomba msaada wa jinsi gani naweza kujifunza na kuimudu masterseries Au kama kuna member(mhandisi) anaweza plzz tuwasiliane dismas.elly@yahoo.com
  3. 17n

    Kutoka Kanisa Ufufuo na Uzima: Gwajima awazungumzia Diamond, Halima Mdee kumtusi Spika na Utekaji

    Katumia picha au katumia jina?? Sheria inasema jina, yeye katumia picha, punguzeni husda watanzania,mmejawa na vinyongo mno
  4. 17n

    Pale Rais anapodanganywa hadharani na Maofisa wa Bandari mamlaka zimekaa kimya...

    Kaka Ukisikia TPA maana yake inaratibu Tanzania nzima,Kama rais angeuliza dar port kuna meli ngapi Kwa maelezo yako upo Sawa...sisi Ni mashaid wa kuona Na si ku Google Kama wewe!
  5. 17n

    ACACIA: Tumekula hasara bilioni 40 kwa wiki mbili baada ya kuzuia kupeleka mchanga nje. Tutawafidia?

    Natamani kuupata mkataba niusome then nami niseme vyangu Naweza upata wapi???
  6. 17n

    Kwa aina hii ya waandishi,tuna safari ndefu

    Nguvu ya mungu haipimwi..magufuli ni chaguo la mungu
  7. 17n

    Anachokifanya mfalme wa Morocco hakina utafauti enzi za utumwa wa Mwarabu na wamisionary

    Wakuu sina mengi zaidi ya kuwaomba mnishawishi kuwa ujio wa mwarabu huyu ambaye ni mfalme wa morocco hauna madhara kwangu wala kwa kizazi kijacho kwa nchi yangu...Maana mzee wetu nyerere aliwahi kusema 'kaburu ni kaburu tu'
  8. 17n

    Kontena zinavyobadilishwa na kuwa makazi Kenya

    Elimu duni?? Kiaje maana nahusika hapo hapo.
  9. 17n

    Poor Ali Kiba, kama hujui kiingereza ni vema kuongea lugha yako tu

    *** YOU MTOA MADA...KIBA KAONGEA VIZURI SANAA...kasema maisha yamekuwa mazuri tofauti Na mwanzo,ame tengeneza ajira Kwa kizazi kipya, Na yeye Ni mkongwe hapa kwetu...Asante ally wewe Ni mswahili kiingereza si lugha yako Na umeeleweka vizuri
  10. 17n

    TPA wajibu Waziri Mwijage kuingilia suala la Kontena 100 ili hali si waziri mwenye dhamana

    Kumbe ndo mnataka nchi ifuate utaratibu hata kwenye maovu Haijaandikwa kwenye kipengele chochote CHA sheria kwamba ukiona mwili shart umwambie mwenye kuibiwa kwanza Na alichofanya mwijage ndo hicho kinaitwa maslahi ya taifa mbele kwanza.
  11. 17n

    TPA wajibu Waziri Mwijage kuingilia suala la Kontena 100 ili hali si waziri mwenye dhamana

    Kwani jirani yako akiwa anaibiwa Na yeye kalala huwa hatupigi kelele..haihitaji AKILI nyingi Kwa hili..mwijage yuko sahihi
  12. 17n

    Butiku: Rais tembo hatufai

    Maneno ya mangula mmeyaandika kwa herufi ndogo Na ndo yenye maana..halafu TANZANIA daima kumbe..ngoja niendelee
  13. 17n

    Naomba kufahamishwa kwa undani kuhusu ist new model

    Wakuu! Nahitaji kununua IST NEW MODEL, Kwa matumizi ya kwenda Na kurudi ofisini lakin pia kumsaidia mke wangu kwenda clinic..nimezipenda sana mwonekano wake lakin sijui sana kuhusu,ulaji wake wa mafuta,spare zake Na pia uimara wake, Msaada wakuu Kwa anayezifahamu!
  14. 17n

    Naogopa kuendeleza biashara yangu

    Wakuu, Mimi Ni mwajiriwa serikalini mwaka huu nimetimiza miaka mitatu kwenye ajira hiyo, Nimekuwa kila nikipata kiji mshahara kangu nawekeza kwenye biashara Na sasa biashara imeshamiri wasi wasi wangu, Ni kuhusu ajira yangu, haiwezi kuwa hatarini wanasheria nisaidieni hapo!
Back
Top Bottom