Sawa,nimegundua upo.kwa ajili ya kubishana.na hauelewi unachotaka.na kukataa kwako kuwa mungu hayupo.hakuhalalishi kuwa hayupo.jitafakari umetoka wapi,wewe ni nani,kwanini ni binadamu wala sio mbuzi,kwanini unapumua,una kula n.k.bila shaka yupo anayekuwezesha.