Recent content by 102

  1. 102

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Ngoja nikatoe hela zangu halopesa.yasije yakawa ya FBME BANK
  2. 102

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hii timu.mungu saidia,haiko vizuri
  3. 102

    Matusi ya kingereza VS Kiswahili

    Achana na mswahili
  4. 102

    I need a boyfriend

    Hadi uboyfriend vyeti?
  5. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Unataka kuichallenge quran.wakati wenzio wameshindwa.jipange
  6. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Huna ulijualo
  7. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Sijakwambia mungu ndo kaumba dunia,nimekuululiza kwa hyo dunia imetokea tu
  8. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Unataka kusema dunia imetokea tu.
  9. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Umeshasema anaumba atakavyo sasa kwanini umpangie...? Kwani wewe ndo umemwambia akuumbe uwe binadamu?si ulikuwa shahawa tu.
  10. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Sawa,nimegundua upo.kwa ajili ya kubishana.na hauelewi unachotaka.na kukataa kwako kuwa mungu hayupo.hakuhalalishi kuwa hayupo.jitafakari umetoka wapi,wewe ni nani,kwanini ni binadamu wala sio mbuzi,kwanini unapumua,una kula n.k.bila shaka yupo anayekuwezesha.
  11. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Sawa,niambie umetoka wapi mwenzetu
  12. 102

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Hivi.wewe umeumbwa na nani...?
  13. 102

    Mimi ndio nimemuacha ila napata shida, nahisi roho inataka kuchomoka kwa maumivu

    mapenzi hayajaribiwi.umeshamvunja moyo.maua yakinyauka uelekea kufa.
Back
Top Bottom