Recent content by 10000

  1. 10000

    Nyumba za kulala wageni Kurasini ni Changamoto sana

    Nenda TEC pale kama kuna nafasi wanaweza kuku accommodate
  2. 10000

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    Hatutaki reforms za kiini macho kama ile ya time huru, tunataka reforms za kweli ili uchaguzi uwe huru na haki. No reforms, No election
  3. 10000

    Mbeya: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi za Chadema Kanda ya Nyasa

    Labda wanataka wamrudishe Mpaluka
  4. 10000

    PreGE2025 Joram Nkumbi ageuka kuwa chawa wa CCM? Amesimama jukwaani anamnadi Dkt. Nchimbi kwa Wananchi

    Kwani ni lini aliacha kuwa nyinyiem? Huyo ni miongoni mwa wanyaturu wajinga sampuli ya suphian nkuwi
  5. 10000

    Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

    Ya simba na al masry taifa
  6. 10000

    Nauza Water Pump Ya Boss Brand New

    Ingekua ya nchi mbili ningewahi chap
  7. 10000

    Ewe mwanaume usinunue ng'ombe Kijiji ulichotoka

    Hii ni kazi ya fasihi, safi kabisa
  8. 10000

    Huko bei ya Nyanya imekaaje?

    Box la nyanya bila laki usilisogelee kigogo sokoni hapo
  9. 10000

    Hii ni aibu kwa Serikali ya CCM Jeshi la Magereza linadhalilika

    Hawa si ndio wanaosaidia kuiba kura kumbe wako apache alolo
  10. 10000

    Ushauri umetolewa kuwa, anayetaka mke bora, basi na aoe askari

    Back in days, alipoenda chuo chao kule moshi akasema wameambiwa waolewe na mapolisi wenzao, mpaka leo bado anazungusha shanga tu umri unamtupa mkono. Huyo mama anajikosha tu maelekezo anayajua.
  11. 10000

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Option mbili tu hapo, mpeleke kwao ulikomchukulia wakabidhi janga lao au aende kwa bwana wake wakalee mtoto wao. Baki na watoto wako ila upunguze kilaji sasa upate muda wa ku hang na watoto.
  12. 10000

    Hivi pesa inapatikana wapi?

    Pesa utaipata ulipoiweka, kama uliweka kwenye kibubu utaikuta kwenye kibubu, kama uliiweka benki utaikuta benki.
  13. 10000

    Raha ya familia ni kuishi Nuclear family sio kujaza watu

    Labda kama sijamuelewa mtoa mada wageni huja na kuondoa lakini ndugu anayekuja kufanya makazi ya kudumu sikubaliani nayo kwa afya ya familia ya kinyukilia
Back
Top Bottom