Back in days, alipoenda chuo chao kule moshi akasema wameambiwa waolewe na mapolisi wenzao, mpaka leo bado anazungusha shanga tu umri unamtupa mkono. Huyo mama anajikosha tu maelekezo anayajua.
Option mbili tu hapo, mpeleke kwao ulikomchukulia wakabidhi janga lao au aende kwa bwana wake wakalee mtoto wao.
Baki na watoto wako ila upunguze kilaji sasa upate muda wa ku hang na watoto.
Labda kama sijamuelewa mtoa mada wageni huja na kuondoa lakini ndugu anayekuja kufanya makazi ya kudumu sikubaliani nayo kwa afya ya familia ya kinyukilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.