Mzee mm nimezaliwa kijijini tena kijiji kweli ata pikipiki kuiona shida ila tulijisomea usiku kwa kutumia vibatali sasa kuniambia dogo kwao hawana hata kibatali kama mzazi ameweza kumruusu akajisomee barabarani basi mzima uyo ashindi kununua mafuta ya taa kwa ajili ya mtoto kujisomea
Pia wapo wengine wanalilia kwenda nje ila haijui ata ofisi ya uwamiaji imeangalia wapi ata kwenda kuulizia utalatibu wa passport ajawai ila kila siku anamsumbua mtu nataka nije uko nitafutie plani wewe hiyo sio safari ya dar to arusha
Shida inaanzia hapa Tanzania kama Tanzania hatuna mawakala wa kutafutia watu kazi nje ya nchi ndomaana waliopo uko wanashindwa watakusaidia he?
Uwaliowengi wameenda kwa njia ya masomo nabwengine kipelekwa na ndungu sio kama kenya na uganda wao serikali yao ina mikatamba na mawakala wa nje ya...
vita vya Kagera) na Uganda kama Vita vya Ukombozi vya 1979, [a] vilipiganwa kati ya Uganda na Tanzania kuanzia Oktoba 1978 hadi Juni 1979 na kupelekea kupinduliwa kwa Rais wa Uganda Idi Amin. vita hivyo vilitanguliwa na kuzorota kwa mahusiano kati ya Uganda na Tanzania kufuatia Amin mwaka 1971...
Naitwa edson Joseph malingumu natafuta kazi ya salon upande wa nail artist, pedicure & mancure. Kwa sasa naishi nchini uganda ndo nako nafanyia kazi Ila naitaji kurudi nchini kwangu. Nna uzoefu wa kutosha na hiyo kazi
Naitwa Edson Joseph malingumu natafuta kazi ya salon upande wa nail artist, pedicure & mancure.
Kwa sasa naishi nchini uganda ndo nako nafanyia kazi Ila naitaji kurudi nchini kwangu.
Nina uzoefu wa kutosha na hiyo kazi namba ya +255753255263 /+256708462740
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.