nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Miongoni mwa watu wanaopambana kwenda abroad niko.
Itoshe kusema diaspora wa kitanzania wana roho mbaya sana.
Hawaelezi ukweli njia za wazi mtu unaweza kufika huko.
Hawako tayari kukusaidia mbinu au hata kukuunganisha na agents pale inapobidi.
Wamekalia kusema sisi tulio Tanzania tunawaomba hela.
Tujiulize kwanini wenzetu kenya,uganda wako wengi abroad tofauti na Tz na ndipo utakapogundua roho mbaya kwa waliotutangulia
Itoshe kusema diaspora wa kitanzania wana roho mbaya sana.
Hawaelezi ukweli njia za wazi mtu unaweza kufika huko.
Hawako tayari kukusaidia mbinu au hata kukuunganisha na agents pale inapobidi.
Wamekalia kusema sisi tulio Tanzania tunawaomba hela.
Tujiulize kwanini wenzetu kenya,uganda wako wengi abroad tofauti na Tz na ndipo utakapogundua roho mbaya kwa waliotutangulia