Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu natafuta kiwanja 25*30 au 30*30 kusiwe mbali sanaa na City center angalau 16-22km
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Haya material ni punje zilizotokana na mawe yaliyo sangwa, kwakweli inapendeza, itakuondoa katika hali ya kupaka rangi jengo lako miaka hadi miaka. Inadumu sana, inafaa ndani na nje. Hapa...
12 Reactions
668 Replies
214K Views
Kichwa cha habari chahusika Wakuu humu wanaofanya udalali Naomba kupatiwa chumba chenye hali nzuri kinachofikika na usafiri chenye huduma zote na usalama maeneo tajwa. Nicheki kwa SMS or...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zanguni, Natafuta body ya nissan patrol y62(2006) na dashboard yake Hata nikipata bei elekezi utakuwa ni msaada mkubwa pia. Marekebisho.. Leo nilienda kuicheki gari yenyewe, aliyeniambia...
1 Reactions
48 Replies
6K Views
Nahitaji chumba cha kupanga maeneo ya karibu na chuo cha NIT Contact:0752195525
0 Reactions
4 Replies
585 Views
Tunauza bidhaa za plastic kutoka Misri kwa bei ya jumla na reja reja,. tuna flower pots, viti, meza, pallets, containers, michezo ya watoto. kwa mawasiliano 0677045403 au tembelea ofisi zetu...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Wakuu salam, nauza tv yangu mpya brand LG size 43 model ya 2019, ni tv ya kisasa sana, Ina features zote mhimu km internet, Netflix, YouTube na nyingine Nyingi km zilivyo tv za kisasa. Tv...
3 Reactions
101 Replies
12K Views
KIWANJA SAFI KABISA NAUZA . PRICE MILION NANE (8) . LOCATION KIVULE CCM ILALA (DSM) . UKUBWA sqm 500 . MAWASILIANO 0764519006 . HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO KARIBU NA KIWANJA, .KIWANJA KIPO KARIBU...
0 Reactions
2 Replies
718 Views
habari zenu wakuu, kwa wale wote wanaotaka LOGO kwa ajili ya makampuni, NGO's na mashirika mbal mbali, ukitaka LOGO ya 3D au 2D zote tunadesign kwa 50,000 tu unapata brand logo yako nzuri na...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wanabodi, Mimi ni mdau wa Total, na haya ni mambo ya Total Way wa Total ambao ni ma Sterling watatu wa vídeo maalum ya Total The Jerusaléma Challenge, wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Total...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wakuu.. Nauza turubai aina tofauti tofauti, ambazo zinaweza kutumika kwa shughuli mbali mbali kama vile kuanikia mazao (mpunga n.k) Turubai nyeupe (size 4/5) 50,000/= Katon Turubai za...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Tunatoa huduma wiring Installation of air condition CCTV camera Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi Kwa namba zifuatazo 0716456379 0764459259 0687567376
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Iwe na vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule, dinning room, choo, bafu, umeme wa kujitegemea, maji na usalama pia. Sihitaji dalali, na ninahitaji mkataba wa miezi mitatu (3) kwanza. Nyumba...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Habari wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu kwa pamoja iitikieni salamu😁 Nahitaji laptop(acer,hp,lenovo na asus) used na iwe kwenye condition nzuri iwe na sifa zifuatazo 1...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wadau.. Nauza turubai 4 zenye za kisasa kwa bei poa. Turubai 1 Size: Futi 20 kwa 20 Rangi ya Turubai: Nyeupe (Kenya) Size ya bomba: Inchi 2 Bei: 800,000 Turubai 3 Size: Futi 16 kwa 20...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Natafuta simu za Lenovo au Xiaomi tafadhali muuzaji kama upo hapa naomba ujitokeze unipe bei zake. Asanteni.
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wana JF Ninayo mashine ya kuchomelea vyuma (Welding mashine) naiuza 150,000/=. Nipo Mtoni kwa Azizi Ali, na mashime ipo Mbezi ya Tegeta Dar es salaam. Nipigie 0719 785 546 Sent from...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa yeyeto mwenye mapenzi na xtrail na yuko tayar kufanya xchange deal, nakaribisha ofa
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau naombeni msaada wa mawazo, ipi ni garage nzuri ya kurepair car a.c,, maana nateseka na joto hili baada ya a.c ya gari kuzingua.. thanks for your cooperations
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Madereva wa Tanzania, Wahimizwa Kutumia Vilainishi Vyenye Ubora, ili Magari yao Yadumu Zaidi na Zaidi Kampuni ya mafuta ya Total, ambayo ndio kampuni inayoongoza kwenye uuzaji na usambazaji wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom