Natafuta chumba Magomeni na Kigamboni, bei 50k

Natafuta chumba Magomeni na Kigamboni, bei 50k

buffalo44

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2016
Posts
5,129
Reaction score
13,110
Kichwa cha habari chahusika

Wakuu humu wanaofanya udalali

Naomba kupatiwa chumba chenye hali nzuri kinachofikika na usafiri chenye huduma zote na usalama maeneo tajwa.

Nicheki kwa SMS or WhatsApp 0762179938

Call sipokei kutokana na tatizo la kutosikia vizuri.
 
ingia instargram andika kuna mtu anajiita dalali wa kichaga kigamboni atakusaidia saana
 
Kipo magomeni mburahati usafiri unafika usalama upo wa kutosha maji yapo nje!labda ungesema magomeni ipi maana Mimi nipo mianzini kata ya Makurumla
Kichwa cha habari chahusika

Wakuu humu wanaofanya udalali

Naomba kupatiwa chumba chenye hali nzuri kinachofikika na usafiri chenye huduma zote na usalama maeneo tajwa.

Nicheki kwa SMS or WhatsApp 0762179938

Call sipokei kutokana na tatizo la kutosikia vizuri.
 
Back
Top Bottom