Muone mtaalamu ( afisa mifugo aliye katika kata au eneo lako atakupa ratiba ya siku maalamu ya kutoa hiyo chanjo na serikal)Salaam Sana wakuu,
Naomba kujuzwa ni utaratibu gani serekali inatoa kugawa hizi chanjo na mifugo?
Nina ngombe nahitaji wachomwe chanjo za ECF (East Africa fever).
Nimeshaulizia madaktari kadhaa bila mafanikio
Labda imegundulika nyingine kwa East AfricaECF = East Coast Fever but not East Africa Fever.
Inawezekana, ila hapo kwenye C basi ikae A.Labda imegundulika nyingine kwa East Africa
Inapendeza sana...Jana nimewachachanja
Asante nyote