Wakuu umuofia kwenu,
Natambua jforum kuna wajuzi wa mambo mengi, naomba kujuzwa wapi nitapata maduka ya hizi mashine za pop corn kuanzia watt 1300, je kwa kkoo nitapata ? Ni mitaa gani au maeneo...
Nahitaji kabla ya weekend niwe nimeshapata. Muda huu nipo njiani kwenda kiwangwa. Nimeelekezwa kua ndio shambani huko, nikanunue kwa mkulima. Napokea direction za ziada.
Pia kama kuna kampuni...
Ipo katika hali nzuri sana, wala haina tatizo lolote; pia ni nzuri kwa kusomea hususa kwa wale wenye matatizo ya kuona vzur kioo kina inches 7.0
Full tablet specifications [emoji116][emoji116]...
Vp Wanajamii,
Hizi frem za K.koo lazima ujipinde kweli ili kuweza kuipata.
Kwa wale wenye ufahamu juu ishu ya vilemba naomba mtujuze. Je vina cheza kwa bei gani, kwa mfano kwa frem zinazo face...
Simu ina miezi miwili tangu itoke dukani.
Exchange kwa mwenye samsung A10s aongezee na hela tutakayokubaliana.
4GB RAM, 64GB storage
5000mAh battery
Fast charging, type c charger,inajaza...
Wadau wangu wa Jamii forums
Nauza Samsung 32' lcd flat screen kwa bei ya Tsh.150,000/=
TV hii inachangamoto ya kuzimaa kilaa ikipata moto
sihitaji kuipeleka kwa Fundi
anayehitaji ajee achukue kama...
Wakuu naombeni mniambie ni wapi nitapata kahawa ilosagwa kwa Dar nina shida nayo sana, ni wapi zinauzwa, yaani chimbo lake liko wapi?
Na bei pia.zipoje?
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums...
Habarini wana bodi.
Thred hii iende kwa wazazi wote ambao wanajituma kwa mali na hali kuhakikisha kuwa watoto wao wanapata elimu yenye ubora na viwango kwa kuzingatia mafunzo muda wa...
CORN THRESHING MACHINE -0686 316 748
Hii ni Mashine nzuri yakupukuchulia mahindi na ni mashine
ya kazi na inauwezo wakupukuchukua tani 10 kwa siku na
iko ya umeme na petrol.
Bei zake:-
Electric...
Habari wana Mwanza,
Nigependa kujua bei ya za fremu zina range kwa kiasi gani cha pesa mjini kati mwanza. Mitaa ya liberty, makoroboi, dampo, etc.
Karibuni.
Kuna mtu anahitaji Toyota Noah, roadtour yenye namba C au D. Ana kianzio cha shilingi mil tano, nyingine atamalizia baadae.
Kama unayo au kuna mtu anayo anataka kuisukuma, tafadhali, weka namba...
Kuku sasso wanauzwa
Umri miezi3 na wiki3.
Wako120,
Bei ni 12000,
Location Ushirombo.
Kama mteja ni wa mbali atapunguziwa bei ili abakie na nauli ya kusafirishia.
0629306194 karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.