Nilitaka kuuliza hili swali...jamaa hazijui pc au analeta utaniHivi unajua hiyo laptop ya mwaka gani mpaka utake 320,000?
Hana akili hiyo machine labda apelekea machinga coplex pale watampa ata elfu 80Nilitaka kuuliza hili swali...jamaa hazijui pc au analeta utani
Hahahaha...we dalaliii huo sasa si uwizi tuIkifika 50 nambie niichukue chap
Boss wangapi kibongo bongo wananunua brand new pc dukani?? kariibu wote tunanunua either refurb au used na bei haiwezi kuwa chini ya laki mbili au tatu...hiyo 80K hata desktop upati.Hana akili hiyo machine labda apelekea machinga coplex pale watampa ata elfu 80
ahahaha...Bosi 90,000 hakika uwezi pata laptop labda iwe ya wizi.Mimi nakupa sh 90,000 cash uliwa tayari karibu
Hiyo ni old model ya kizaman sana huwezi kuiuza kwa 300 k labda upate kipofuahahaha...Bosi 90,000 hakika uwezi pata laptop labda iwe ya wizi.
Ni kweli ni old model chief lakini haina tatizo lolote,inawezekana nisipate 300k,lakini hebu kuwa realistic mkuu ndio useme waweza uza kama ni yako kwa 80k?Hiyo ni old model ya kizaman sana huwezi kuiuza kwa 300 k labda upate kipofu
Hapana Boss wangu...hao wanaoharibu biashara kusema 80 or 90k najua hata wao wanajua hata ukiwapa 150k pc ya halali hawawezi kukuletea.Ngoja nipande dau 110k
We uza achana na wao. Leo nimeamka na noti 12 moja nishaanza kutafunia supu ya MbuziHapana Boss wangu...hao wanaoharibu biashara kusema 80 or 90k najua hata wao wanajua hata ukiwapa 150k pc ya halali hawawezi kukuletea.
Sawa ila hiyo machine at least ungetagaza kwa 150 atakama wabongo wananua used ila sio kwa ilo mbango.Boss wangapi kibongo bongo wananunua brand new pc dukani?? kariibu wote tunanunua either refurb au used na bei haiwezi kuwa chini ya laki mbili au tatu...hiyo 80K hata desktop upati
Hii ni used but in very good condition...haijarishi ya mwaka gani....Umehamua tu kuniharibia biashara kama ilivyo kawaida yetu wabongo
Hapo nimesema na bei inazungumzika tatizo lako bosi wangu liko wapi?
Sawa ila hiyo machine at least ungetagaza kwa 150 atakama wabongo wananua used ila sio kwa ilo mbango
ahahaha...etuii hilo Mbango....ilaa we mjamaa una madharau ujuee....anyway...ili mbango langu siwezi uzaa chini ya 250 aiseeee.Sawa ila hiyo machine at least ungetagaza kwa 150 atakama wabongo wananua used ila sio kwa ilo mbango.
Unafikiri hupati kwa 170? Unapata vizur tu sema hauko kwenye hizo issue! Machine ya 300 mbona unapata machine nzuri generation 4-5 ila hiyo ata kwenye generatiob haipo banahahahaha...etuii hilo Mbango....ilaa we mjamaa una madharau ujuee....anyway...ili mbango langu siwezi uzaa chini ya 250 aiseeee.
Fanya mpango nitafutiee mbango la 170 mimi ninunue..
sasa unazosema wewe Boss simpaka mtu atokee awaletee na hujui kamuumiza nani??...hii mali halali bosi wangu....mkuu yaan wewe kama unayo ya 200 hizo 4th to 5th generation....iposti hapa ...ila hii yangu naona nikiiuza chini ya 250 hainilipi.Unafikiri hupati kwa 170? Unapata vizur tu sema hauko kwenye hizo issue! Machine ya 300 mbona unapata machine nzuri generation 4-5 ila hiyo ata kwenye generatio