Tathmini ya vifaa jenzi chini ya UVIMO

Tathmini ya vifaa jenzi chini ya UVIMO

frabel

Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
96
Reaction score
60
Habari wakuu.

Uvimo tumeendelea kutoa huduma zoote za ujenzi kote nchi nzima.
Huduma zetu daima huanza
KUCHORA RAMANI -HADI WEWE MDAU UNAINGIA KWENYE NYUMBA YAKO.

Uvimo maktaba ,ni program yetu ya kujadili mada mbalimbali za ujenzi kupitia kundi la UVIMO PUBLIC CENTER

Na leo tuangazie utaratibu wetu wa kutathimini ujenzi.

Moja ya shuguli na jukum letu ni kufanya tathimini ya kitaalam ya mradi kwa kutumia ramani yako au tuliyo kuchorea sisi UVIMO.

Ili kupata tathimini , kuna taratibu mbili ambazo inabidi ukubali moja wapo.

1-KUKUFANYIA TATHIMINI PEKEE.
Baadhi ya wadau hutaka kufanyiwa tathimini ya ramani zao au tulizo wachorea na kuwapa fundi wao wawajengee.

Kwetu Uvimo tuna tambua hili, na wadau wetu mwe huru kutumia fursa hii.

Kama Uvimo hatubaki na tumaini la kazi, kwako.
Tuna tathimini kwa shilingi 50,000/- na utahudumiwa kwa kushauriana kwa kipindi chote cha ujenzi wako .

Na hii unalipa baada ya kukabidhiwa ripoti ya tathimini.

2-TATHIMINI NA KAZI.
Endapo umenuia kujenga na Uvimo, basi, gharama za tathimini huondolewa na kubaki na tumaini la kazi.

Tuna tambua matapeli wapo ambao tunawafanyia kazi na hawatulipi na kuunda sababu au kuingia mitini, lakini Uvimo tumeendelea kuwahudumia wadau wetu walio wema kwa sababu hata sisi tumewekeza katika wema.

Wasiliana nasi kwa kwa huduma au kushiriki mijadala

0629361896 - Kupiga
0753927572 - WhatsApp

Uvimo >Nyumba bora kwa wote


IMG_20211129_102237_1.jpg
FB_IMG_1639849926912.jpg
 
Back
Top Bottom