Nyumba nzuri ya kupanga yenye vyumba 2(Kimoja ni master) ,Sebule kubwa ,choo cha public kwa ndani,Jiko kubwa na veranda lenye nafasi pande zote na iko ndani ya fence inapatikana eneo la Nzuguni jirani na uwanja wa CBE (Ni kama km 1 toka pale stand au kijiwe cha bodaboda Nzuguni).
Bei yake ni Tsh 350,000 kwa mwezi.Awamu za malipo ni kila baada ya miezi 3.Kwa anayehitaji apige 0629737373.
Bei yake ni Tsh 350,000 kwa mwezi.Awamu za malipo ni kila baada ya miezi 3.Kwa anayehitaji apige 0629737373.