Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Serious business tuwasiliane inbox. Nipe BMW X3 au X5 nikuachie chuma hiko nipo Dar es salaam Ubungo.
5 Reactions
31 Replies
5K Views
Imetumika kidogo sana bado mpya kama unavoiona hapo, haina tatizo lolote lile 32GB Storage Ram 2GB Android 11 one UI 3.1 Tsh 180,000/= tu Bei ya OFA hii inapatikana Mwanza igoma Mawasiliano ...
1 Reactions
6 Replies
761 Views
Wakuu Hari ya Mwaka Mpya Naitaji Eneo la kununua Kwa ajili ya kufanyia Biashara, Eneo liwe karibu kabisa na Barabarani, Napenda Sana chanika, kama ni chanika mwisho au sehemu yoyote sio nje ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwema wakuu! Faida ya kuangalia Movie au Series ni kuelewa kiundani neno kwa neno na Story nzima. Kwa wale wapenda Movies na Series kutoka nje ya nchi ambazo hawatumii Kiswahili kama lugha mama...
3 Reactions
12 Replies
5K Views
Wadau, Nahitaji mtu mwenye king'amuzi cha Azam bila dish kama unacho,kisiwe na tatizo (fault ) ya aina yoyote kiwe kimesajiliwa kiko hewani na Remote yake. Karibu tufanye biashara. Jibia hapa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu Hari ya Mwaka Mpya Naitaji Eneo la kununu Kwa ajili ya kufanyia Biashara, Eneo liwe karibu kabisa na Barabarani, Napenda Sana chanika, kama ni chanika mwisho au sehemu yoyote sio nje ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
We are one of the easiest website hosting platforms to use, and remain committed to providing our customers with one of the best hosting solutions on the market. Our powerful website hosting...
5 Reactions
140 Replies
13K Views
Habari wana jf, nimekuja kwenu Nina uhitaji wa mkopo Nimejaribu kwenye taasis nmekosa, nina dhamana ya nyumba ipo morogoro mzumbe, nahitaji tsh million 3 naweza kurejesha ndani ya miezi miwili...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Chumba kizuri sana ndani ya geti Bei ni 70k miezi sita Una sub meter yako umeme Ni sekunde kufika barabara ya lami Choo mna share wawili Wahi mapema dm Karibu na hotel ya moveck
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Yaaani tangu ninue dish la Dstv haipiti miezi mitatu chanel zinakata kata natafuta fundi anagusa gusa akiondoka ikikaa baada ya mda linazingua tena!! sasa nimechoka kutoa hela kila siku...
0 Reactions
2 Replies
688 Views
Wakuu habarini za majukumu! Ninaomba yeyote anaeuza decoder ya Azam aniuzie whats app 0683965391 Asanteni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza kiwanja kinachopatikana Itezi Mbeya. SIFA ZA KIWANJA 1. Kimepimwa na hati ipo. 2. Umeme hauhitaji nguzo au nguzo moja ukihitaji. 3. Nimeweka msingi wa mawe wa nyumba (Trip 9). 4. Mashimo...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Ina Speaker 3 Ina play Bluetooth Ina sehem ya Flash na Memory Card Bei 80,000/= Location Manzese Tip Top DSM Contact Call & whatsap 0678296878
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Je umefanya maamuzi ya kufikia uhuru wa kifedha kupitia majengo ya kupangisha?. Je umefanya maamuzi ya kustaafu mapema zaidi kupitia majengo ya kupangisha?. Je upo tayari kuanza kumiliki majengo...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Fursa kwa wakazi wa Dar es salaam na Habari ndugu,napenda kuwapa taarifa kuwa kuna fursa ya uanzishaji na ufugaji wa nyuki kwenye maeneo ya mikoko Dar es salaam. Maeneo yanagaiwa kwa walio...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba ipo Vikindu pwani, Chumba 3 moja Master, Dinning, kitchen, store, sitting. Bei mil 16 tsh 0683775566
0 Reactions
1 Replies
517 Views
Vikindu pwan,mbele ya mbagala kwa wasiopajua, Chumba 3 moja Master, dinning, kitchen, store, sitting. Price tsh 16 mil. Call 0683775566.
0 Reactions
0 Replies
504 Views
Fremu ipo mita 30 kutoka barabara ya lami ya shekilango road, nyuma ya rombo green view hotel mkabala na legho hotel. Kodi ya miezi 3/6/12 ndo inayopokelewa. Karibu kwa mawasiliano 0672037238
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Lenovo T440p Core i5 Processor 2.6ghz Integrated graphics 4gb Fhd Max. Reso. Battery 5hrs Price 620000/=
2 Reactions
4 Replies
858 Views
Tv ni smart yenye sifa zifuatazo:- 1. UHD Tv (4K resolution) 2. VIDAA SMART OS 3. High Dynamic Range 4. DTS Studio Sound 5. Bluetooth 6. NETFLIX, YOUTUBE etc. 7. Cast screen option 8. 3 HDMI ports...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…