Nauza mayai ya kienyeji tray @14,500. Niko Mwenge maeneo ya TRA. Ukihitaji kufanyiwa delivery, inawezekana na gharama zote ni juu yangu. Deliveryni kwa maeneo ya Dar.
Namba yangu 0621047282
Habari,
Natafuta chumba cha kupanga Kigoma mjini isiwe Ujiji wala uswahilini. Nitapendelea maeneo kama Kilimahewa,mjimwema,nazareth,maweni na viunga karibu na hivyo
Chumba self cha nje napendelea...
Inabeba Lita 4,500 na bado ipo kwenye hali nzuri. Bei 25 Milioni (Maongezi yapo).
Leo Juma Nne ukingoja January unaikosa hii.
Boss wa moto! Tufanye biashara....
Tucheki 0678275619.
#magariused...
Galaxy A12
4gb ram
64gb storage
Quad cameras
Fast charging
Battery 5000mah
Sided fingerprint
Simu bado mpya kabisa ina miezi miwili na nusu tangu niinunue dukani.
Bei ya ofa 290k kwakuwa...
Habari wadau,
Naitaji gari ya kununua kwa mtu.
Iwe Toyota IST.
Cc 1290 (isiwe zaidi ya hizo)
Isiwe imeguswa injini
Namba D ndio itapewa kipaumbele.
Siitaji dalali, sababu sina pesa ya...
Nyumba inauzwa Mbeya mjini, karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
Habari,
Gari Excellent Condition inauzwa
Nissan Murano - T879 DRW
In a good condition, Full Ac
Bei. - 10.5 M
Contact - 0685020831
Gari ipo Tegeta - Kibo Complex, unaeeza nipigia muda wowote...
Habari jf
Rejea kichwa cha habari hapo juu kama kuna mtu anauza sofa used zile ngumu zilizotolewa maofisin au majumbani nahitaji kununua , taja location na picha kama unazo itapendeza pia
Kwa wanaohitaji kuweka fridge kwenye gari yako kwa ajili ya kupoza na kuhifadhia chakula au kinywaji wakati wa safari au misele yako.
Ninazo mini fridge nzuri sana zinafungwa kwenye gari na...
Introducing to you an innovative system to track payments #sends automatic reminders and announcements to parents, #easy to use and affordable to all.
Price TZS 3000 per child per year.
REGISTER...
Doltu Architects offers design and planning services for new construction, renovations and additions for commercial and residential projects.Our architectural fee are competitive and our services...
Hello habari wana jamvi, kwa mtu yoyote mwenye kampuni ya kusafirisha mizigo kutoka Tanzania kwenda nje ya Tanzania, ninataka kupeleka vitunguu Gaborone, Botswana vitunguu gunia 80, sasa hapo...
Habari ya asubuhi ndugu zangu, yoyoye anaemjua supplier mzuri wa mchele anichek kwa number: 0783 242247
Tumepata emergency therefore is very urgent to get it today or tomorrow.
Vigezo ni kama...
Kwa wanaopenda makazi yaliyo karibu na barabara kuu hii inawafaa zaidi.
Nyumba ipo Gongo la mboto(Kwalala).
Bado ina eneo na bei ni nafuu kabisa.
Tsh 35,000,000.
Karibu kwa mazungumzo.
Call 0755519358
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.