King'amuzi cha Azam kinahitajika

King'amuzi cha Azam kinahitajika

Mwaikibaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
3,047
Reaction score
3,784
Wadau,
Nahitaji mtu mwenye king'amuzi cha Azam bila dish kama unacho,kisiwe na tatizo (fault ) ya aina yoyote kiwe kimesajiliwa kiko hewani na Remote yake.

Karibu tufanye biashara.

Jibia hapa hapa nitakutafuta.

Nb:Najua nahitaji cha nini hivyo sihitaji darsa na story nyingi..kama unacho karibia HAPA.

shukrani.
 
Wadau,
Nahitaji mtu mwenye king'amuzi cha Azam bila dish kama unacho,kisiwe na tatizo (fault ) ya aina yoyote kiwe kimesajiliwa kiko hewani na Remote yake.

Karibu tufanye biashara.

Jibia hapa hapa nitakutafuta.

Nb:Najua nahitaji cha nini hivyo sihitaji darsa na story nyingi..kama unacho karibia HAPA.

shukrani.
Hata mi nahitaji pia kama kuna mtu anacho andika hapa mawasiliano yako tufanye biashara chap
 
Wadau,
Nahitaji mtu mwenye king'amuzi cha Azam bila dish kama unacho,kisiwe na tatizo (fault ) ya aina yoyote kiwe kimesajiliwa kiko hewani na Remote yake.

Karibu tufanye biashara.

Jibia hapa hapa nitakutafuta.

Nb:Najua nahitaji cha nini hivyo sihitaji darsa na story nyingi..kama unacho karibia HAPA.

shukrani.
kipo kwa elfu 80,000/=
 
Kuna jamaa anaviuza kwa TSH 60,000/=
Vipya kabisa
 
Wadau,
Nahitaji mtu mwenye king'amuzi cha Azam bila dish kama unacho,kisiwe na tatizo (fault ) ya aina yoyote kiwe kimesajiliwa kiko hewani na Remote yake.

Karibu tufanye biashara.

Jibia hapa hapa nitakutafuta.

Nb:Najua nahitaji cha nini hivyo sihitaji darsa na story nyingi..kama unacho karibia HAPA.

shukrani.
Ninacho ila nauza complete na dish lake.0714132737.
 
Nahitaji King'amuzi cha Azam kama Upo Arusha Nicheck via 0654 400 400.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom