Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,708
- 1,553
Habari natafuta Internet service providers wazuri wenye speed kuanzia 20MBps na kuendelea wanaopatikana kimara. Asanteni
Aisee Vodacom Walikuja kufanya Survey ikaonekana eneo halina Network yao. Hao SimbaNet Speed yao ni 3 Mbps, na ninayohitaji walao ianzie 20MBpsVodacom wana huduma inaitwa Supakasi,
Au Kuna jamaa wanaitwa SimbaNet
Duh So hakuna Option Nyingine kabisa?Hakuna; hata wakikuahidi Ni uongo ; Kama huamini jaribu
Duh So hakuna Option Nyingine kabisa?
TTCL Wao ndo shida, wanarun 1 MBps,Itakuwa Na unafuu, but Kwa specs hizo? I doubt
Tunapimaga speed kwa Mbps na sio MBpsAisee Vodacom Walikuja kufanya Survey ikaonekana eneo halina Network yao. Hao SimbaNet Speed yao ni 3 Mbps, na ninayohitaji walao ianzie 20MBps
Habari natafuta Internet service providers wazuri wenye speed kuanzia 20MBps na kuendelea wanaopatikana kimara. Asanteni
Kama bado unapata provider check Kwa hii namba. 0756390620Habari natafuta Internet service providers wazuri wenye speed kuanzia 20MBps na kuendelea wanaopatikana kimara. Asanteni
VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICEHabari natafuta Internet service providers wazuri wenye speed kuanzia 20MBps na kuendelea wanaopatikana kimara. Asanteni