Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni ndugu yangu. Anatafuta shule ya kukodi. Iwe Msingi ama Sekondari kwenye mkoa wa DSM, Pwani ama Morogoro. Kwa yeyote anayeweza kusaidia kufanikisha hili anakaribishwa sana. Mengine...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta ballmill used liwe na uwezo wa kusaga kuanzia tonne 5 kwa saa
1 Reactions
3 Replies
494 Views
Kwa Mahitaji ya pikipiki Aina ya TVS na Boxer BM/ BMX Tupigie 0652659775/0620617985 N.B ni kwa DSM pekee
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari JFers Natumai nyote muwazima. Ninapatikana DAR ES SALAAM. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kununua Toyota GX 110 Grand iliyotumika kutoka kwa MMILIKI ( na si...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nyingine tena kwa ajili yako..Ongeza ladha na muonekano wa nyumba yako na BOSS SUBWOOFER kwa bei ya TSH [emoji626]230,000/=tu..yenye sifa zifuatazo BLUETOOTH FM RADIO USB PORT AUX CABLE Na...
1 Reactions
134 Replies
20K Views
MITUNGI EMPTY IPO 20 INAUZWA JUMLA 350,000/- MIKUBWA MITATU; Oryx 1, ogas 2 MIDOGO KUMI NA SABA; oryx 4, lake 4, ogas 3, taifa/mihan 5, Manji 1 Ipo Mikwambe, Kigamboni Siuzi mmoja, nauza yote...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika muendelezo wetu wa kubuni vifaa vya ujenzi vya kipekee vyenye ubora wa hali ya juu na gharama nafuu, sasa tuna pavers paving bloks za kipekee Tanzania (kama sio duniani). Pavers zetu hizi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Ninanunua kuku wa kienyeji, kuku wa kisasa(broiler), chotara na layers (waliomaliza kutaga au waliokomaa vizuri). Hivyo naomba mwenye nao tuwasiliane au yoyote anaejua wapi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wadau MAELEZO RIM 4 PCS... SIZE 17 TAIRI... 215/50/17 ZINAFUNGA KWENYE PREMIO, BREVIS, MARK X, HARRIER, DUALIS N.K BEI... 620'000 TZS MAWASILIANO.. 0755252659 ZIKO DODOMA MJINI PITIA...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri. Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Nawasalimia wanajamvi. Pole na majukumu naomba nijielekeze kwenye mada mzee mmoja tunaefahamiana akanifuata kunitaarifu kuwa anauza shamba lake na ametafuta wanunuzi kwa mwaka sasa hafanikiwi...
1 Reactions
10 Replies
982 Views
Enwo la ekari 4. lilipo ni kigamboni ulongoni, jirani na kiwanda cha Afya maji na maziwa (camel) au na dar es salaam zoo.. au walipotaka jenga show room ya magari ya dar nzima... karibu sana ...
0 Reactions
5 Replies
662 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Tunafanya shughuli ya kuuwa wadudu kwa dawa ambazo zimethibitishwa na mamlaka zote nchini Tanzania. Wadudu aina zote tunapambana nao warukao,wanaotambaa ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini kwa mara ingine tena, Kazi yangu ni kukusaidia wewe mwenye biashara yako kama ni pharmacy,supermarket au biashara ingine yoyote ambayo utahitaji kuwa na mfumo/system ambayo itakusaidia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuacha Iphone sijajua ni Sim gani inaipa Upinzani Google Pixel kwenye Camera Kama ni Redmi basi tupieni picha zake hapa mimi natupia zangu za Google pixel Jamani kuacha Camera hiyo kiatu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Simu imetumika wiki Tatu Tu. Simu ni mpya na upya wake. Simu ipo kama unavyoiona kwenye picha hapo Chini. Your all welcome...........,........,.
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari za wakti huu; Kwa jina naitwa Libera Niko Arusha ni binti wa miaka 22.Ninafanya biashara ya kuuza website na bidhaa nyingine za kidigitali.Mwanzoni nilikuwa nafanya shughuli ndogo ndogo...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom