Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karibu ujipatie sandwich tamu kabisa kwa ajili ya nyumbani, sherehe, harusi na kazini. Tunachukua orders ya mapishi pia kwa ajili ya snacks za aina zote.
0 Reactions
0 Replies
442 Views
Matatizo Yako Yote Ya Maji Tuachie Sisi | [emoji97][emoji97][emoji97] Tunaamini hata wewe unaweza kuondokana na adha ya kulipa bili kubwa ya maji, au kuepuka kero ya kukatika kwa maji mara kwa...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana. -> Kioo kina ukubwa wa inchi 15 -> RAM ni 4GB -> Hard disk yake ni 500GB -> CPU ni duo core ya 1.6Ghz -> Kipengele chake...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mi TV Box S inauzwa kwa bei chee. Hiki ni kifaa kinachoipa uwezo TV yako ambayo siyo smart TV kuwa smart TV na pia hata kama TV yako ni smart lakini haina android OS basi unahitaji kifaa hiki ili...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari, Account ya instagram yenye followers kwanzia 10k inahitajika... Ahsante.
0 Reactions
3 Replies
454 Views
Habari Natafuta sehemu kwa ajili ya kufungua offisi Dodoma. - Offisi hio iwe mjini Dodoma au karibu na mjini kabisa Sehemu tulivu Offisi iwe near karibu na public transport itapendeza sana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Pangasasa ni kampuni inayo usika na huduma mbali mbali kama: 1: Kupangisha makazi 2: Kununua makazi 3: Kuunganisha mhuuzaji na mnunuaji 4: Kusafirisha na kuhamisha mizingo ya mpangaji...
0 Reactions
2 Replies
974 Views
Nahitaji mahindi ya njano tani za kutosha Contact 0783166050
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wadau, Je, local disk ya computer ama laptop yako imejaa na hujui unaiongezaje ukubwa? Umejaribu ku-shrink disk ya karibu lakini huwezi kuongeza unallocated space katika C drive yako...
1 Reactions
2 Replies
698 Views
Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
1 Reactions
6 Replies
979 Views
Mimi nipo Mwananyamala kibiashara nafkiria kutafuta kiwanja maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta ili nifanye makazi lakini sijawahi kufika nasikia tu Tegeta... na nimeangalia kwenye google map...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Subwoofer yenye Amplifier ndani -Watts 1000 Mdundo Kama Wote[emoji344] Kwa ajili ya Gari[emoji593] lako au Bajaji Zinapatikana kwa Jumla na Rejareja Bei 90,000/= Tupo Kariakoo-Dar es Salaam...
2 Reactions
20 Replies
7K Views
Kindly find the attached company profile and of our cleaning company. Our company was founded on the principle of warm, friendly and efficient service. Our staff knows how to get the job done and...
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Tunatoa huduma za usafi majumbani, ofisini kwa weledi mkubwa sana. Pia tunauza dawa za kukusaidia kwenye usafi wa masofa, tiles, vyombo kwa Bei nzuri kabisaa. Uaminifu na weledi ndio msingi mkuu...
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Hello fellas. Kuna fursa ya biashara ya playstations/games Watu wengi wamekuwa wakiuziwa games kwa bei ghali sana pia wakiuziwa mashine ambazo sio imara. Kuna mahali Kariakoo wanauza games kwa...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Kiwanja Fumagila Kishili Jijini Mwanza Bei: Laki 6 tu punguzo hakuna Size: hatua 18 kwa 16 za miguu Mawasiliano: 0713096076 Kiko karibu na barabara kuu ya Kishili-Nyanama-Fumagila-Bujingwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sony Playstation 3 inauzwa. Imetumika kwa muda wa miezi minne tu. ->HAINA TATIZO(KIPENGELE) chochote ->Imechipiwa na ina game zaidi ya 6 ndani. ->Nakupa na padi mbili, waya wa kuchajia padi na...
1 Reactions
5 Replies
848 Views
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, tupo mtaa wa vitendo, kata ya Misugusugu, mkoa wa Pwani, namba zetu za simu 0625249605. Kituo kinaitwa "Miyomboni Shule" au Misugusugu Shule ya Msingi. Fursa za...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
  • Closed
Jengo la ghorofa 2 na nyumba ya chini zote zinauzwa Kijitonyama Ghorofa Lina vyumba 6 ambavyo ni master vyote Nyumba ya chini ina vyumba 3, kimoja master, jiko, sitting room na public toilet. Plot...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wakuu.! Natengeneza vitanda vya kisasa vya sofa kwa bei nafuu, nipo Zanzibar. 4/6 bei laki tatu na nusu 5/6 bei laki nne. 6/6 bei laki tano ukihitaji nicheki 0679478758 au 0624078758
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom