Tunauza ng'ombe wa maziwa (dairy cattle)

Tunauza ng'ombe wa maziwa (dairy cattle)

MKT

Member
Joined
May 10, 2019
Posts
10
Reaction score
54
TUNAUZA NG'OMBE WA #MAZIWA (#DAIRY #CATTLE)

Hawa ni Ng'ombe wa #maziwa wapo wanao kamuliwa lita 10 - 24 kwa siku wapo na #mitamba

simu:
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 765 291 489
+255 625 994 023

Email:
mifugotz@gmail.com

IMG_20190511_202224_204.jpeg
IMG_20190511_202224_210.jpeg
IMG_20190511_202224_213.jpeg
IMG_20190511_202224_218.jpeg
 
Nahitaji ng'ombe wa maziwa,... Mko wapi unasema..!
 
Aliyepandishwa ni bei gani, na ndama ni bei gani
 
Halafu huyu jamaa mwenyewe hayuko serious, anaweka bandiko halafu anapotea hajibu maswali ya wateja,... Anazingua hana ng'ombe
 
Kiwango cha maziwa ulichoweka ni kwa Siku au mkamuo maana ukweli Lita kumi kwa siku ni chache sana au kawaida sana
 
Ng'ombe bora wa maziwa

Uzalishaji wa #maziwa ni biashara nzuri sana na ya kuvutia ambayo huwa na faida nyingi na humfanya #mfugaji kuridhika hasa kwa yule anayependa kazi hii.

Hata hivyo, ni lazima kuanza kwa kuweka msingi imara hata kabla ya kufikiria ni aina gani ya mbegu utaichukua kwa ajili ya kufuga.

Ni vizuri kufahamu kuwa, usimamizi ni moja ya jambo muhimu sana ambalo likifanyiwa uzembe linaweza hata kumbadilisha ng’ombe wa #maziwa kuwa na uzalishaji duni kama ngo’mbe wa kienyeji.

#DairyCow #Maziwa #Milk

Kupata huduma zetu wasiliana nasi kwa

simu
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 765 291 489
+255 625 994 023

Email:
mifugotz@gmail.com

@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani

#mifugo #mifugotz #kilimotz #kilimo #drkessyvet #kuku #broiler #tanzania l #bata #kuchi #kilimoufugaji #kilimanjaro #sungura #vifaranga #daktariwamifugo #afyakiganjani
7ab1b64d4857fdbb935bee51661793f0.jpeg
 
Huwaga hujibu maswali sijui una matatizo gani?
 
Huwaga hujibu maswali sijui una matatizo gani?
Ha ha haaa.....

Hawa jamaa ni Matapeli. Chunga Sana fedha yako.
 
Back
Top Bottom