peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,379
- 26,885
Hueleweki.Kipindi cha awamu ya sita neno hili limetawala kwenye watu wanadaiwa na mabank na watu binafsi..
Ni nini kifanyike?
Zama zimebadilika sasa ni masega ya asali kila kona Lakini kwa wenye connection tuu [emoji23]Kipindi cha awamu ya sita neno hili limetawala kwenye watu wanadaiwa na mabank na watu binafsi..
Ni nini kifanyike?
😂😂Hakuna kingine cha kufanya zaidi ya kulipa tuKipindi cha awamu ya sita neno hili limetawala kwenye watu wanadaiwa na mabank na watu binafsi..
Ni nini kifanyike?